Picha yako iwekwe kwenye Logo ya Jamii forums,Na wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
JF inapitia wakati mgumu sana.Habari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu
Na warefu ni wataalam Sana wakutatua marynder kwa ustadi wa kipekee ukilinganisha na wafupi.Habari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu
Nabaki Domo wazi,wasomi wamejazana hskuna kazi,kilichobaki tukazane tu msbibi na mabwana kwani hakuna nanna tena- gwm,ngoma yamenikutaKucheka nataka kuli a nataka.....
Nagunaguna tu
Mambo yanavovurugana hivi, hayo mambo ya urefu na ufupi bado kuna wanawake wanayawaza mpk leo?Habari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu
nymphomaniaHabari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu