Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Inamaaana warefu hawana pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁Kaka, shemeji yako anadai Mimi mfupi, sijui Ni utani au kweliWewe utakuwa Ni andunje.
Duh! Kweli tutapata wake jamani masimango kila konaKwakweli halaf wafupi huwa wananuka midomo
Sasa wachanganyikiwa nini wakati hela inatafuta but urefu huwezi tafuta its wither u have it or u dont. Its just simple thinking dah!Na hapa ndio tunapochanganyikiwa 😂😂😂
Kumbe Leo ndo umeanza kuamini walimu hamnazo [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hawa nimalofaCha mwisho, huyu ni mwalimu... Kuna member alianzisha uzi humu wa ku-question uelewa wa waalimu watu wakamuona hamnazo, ila sasa naanza kuamini[emoji2958]
View attachment 2317320
Mkuu mbona post zako unaponda sana wanaume.. kulikoni? Kama umeachika hv karibu jitahidi ku-move on dada angu, kuweka kinyongo moyoni haitakusaidia chochoteHabari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu
Inategemea ..urefu na ufupi unapimwa na mtu uliyesimama naye. Kama yeye ni mrefu kuliko wewe baai utakuwa Ni mfupi kwake. Ila kuna ukisimama nao wewe inaonekana mrefu.😁Kaka, shemeji yako anadai Mimi mfupi,sijui Ni utani au kweli
Mwambie ukweli asije kurudi hapa na uzi wa kulia lia kuwa kaachwa na mkaka mrefu baada ya kuzalishwa😂Na wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
Wewe ni Ke au Me?Mwambie ukweli asije kurudi hapa na uzi wa kulia lia kuwa kaachwa na mkaka mrefu baada ya kuzalishwa[emoji23]
Unaonekana unapenda sana Mikuyenge Mirefu Dada kutokana na haya Maelezo yako na walivyo Wanaume Warefu na Wembamba pia.Habari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu
Kumbe 😁Cha mwisho, huyu ni mwalimu... Kuna member alianzisha uzi humu wa ku-question uelewa wa waalimu watu wakamuona hamnazo, ila sasa naanza kuamini🤫
View attachment 2317320
Dah mie kn binti nimempenda hadi kuonanae naogopa .wafupi tunavyopondwa humuDuh! Kweli tutapata wake jamani masimango kila kona
Ule msimu wa majungu na fitina umerudi tena 😂😂😂Habari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpaka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu