mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Tulia wewe tulambe asaliNa wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
Usiwashtue
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe tulambe asaliNa wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
😂Sasa wachanganyikiwa nini wakati hela inatafuta but urefu huwezi tafuta its wither u have it or u dont. Its just simple thinking dah!
Toka lini ukataka mke wewe mzee wa hit&run??Duh! Kweli tutapata wake jamani masimango kila kona
Toka siku ile nilipokuona....moyo ulitokea kukupenda tuu na hivyo basi nahitaji nikuwowe😂
Toka lini ukataka mke wewe mzee wa hit&run??
Kha! Sitaki.Toka siku ile nilipokuona....moyo ulitokea kukupenda tuu na hivyo basi nahitaji nikuwowe
Dah ndio unanikataa live jamani😲😲😲Kha! Sitaki.
Bora nibaki tu single 😂Dah ndio unanikataa live jamani😲😲😲
Aya alafu baadae uje useme wanaume wenyewe sio waoaji mara anaepumua atanifaa tuu
Mweee hilo najua huwezi kabisaaaaBora nibaki tu single 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha kutuchafuaNa wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji7][emoji7]Wanaume warefu wanavutia.
Oyaaa [emoji16][emoji16]Kwakweli halaf wafupi huwa wananuka midomo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Yaani mtu una kubali vipi kuwa mfupi kwanzaDuh! Kweli tutapata wake jamani masimango kila kona
Sasa unataka kunishana na nature[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Yaani mtu una kubali vipi kuwa mfupi kwanza
Hahahhahahahha....Msameheni buree, huyu kashapigwa tukio mahali, maana topic zake zote ni wanaume wanaume wanaumeee...
View attachment 2317315
Bahati mbaya ni joined July 2022 tuu hapo..
View attachment 2317317
Kaponda wanaume wapi wakati katusifia wanaume warefu , seems jf Ina wanaume wafupi wengi sana humuMkuu mbona post zako unaponda sana wanaume.. kulikoni? Kama umeachika hv karibu jitahidi ku-move on dada angu, kuweka kinyongo moyoni haitakusaidia chochote
MnatuchafuaMwambie ukweli asije kurudi hapa na uzi wa kulia lia kuwa kaachwa na mkaka mrefu baada ya kuzalishwa[emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ule msimu wa majungu na fitina umerudi tena [emoji23][emoji23][emoji23]