Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sisi wanaume warefu huwa tunawaona wanaume wafupi Kama kundi linalohitaji uangalizi maalum maana vijamaa vinateswa sana vikipata dem vinang'ang'ania hata Kama havipendwi kwasababu huwa hawana uhakika wa kupata dem mwngne
Binti yetu unateswa na sumu za kihisia , na zitakutesa sana mpaka utakapoanza kujiheshimu mwenyewe kwamba unatosha kujipa furaha na kujiwekea mazingira ya kutoshelezwa bila kumtegemea mtu yoyote kukupa hiyo hali na iyo itakusaidia pindi watu uliowapa heshima watakapo acha kukuheshimu ila kukaa na kuanza kusambaza sumu kwa mabinti wengine ni kutoheshimu mwili wako mwenyeweHabari
Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akiku kic unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah
Mpaka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ILA warefu hata akiwa mbali unatamani mda wote awepo karibu mchumuchumu tu
Umemfanyia uchunguzi hahMsameheni buree, huyu kashapigwa tukio mahali, maana topic zake zote ni wanaume wanaume wanaumeee...
View attachment 2317315
Bahati mbaya ni joined July 2022 tuu hapo..
View attachment 2317317
Una laana weye!Mnatuchafua
Watu wafupi siku zote ndio wanao ongozwa Kwa drama [emoji28]
Unatafuta mume?Wewe ni Ke au Me?
Huo ndio ukweli watu wafupi mna visa na vituko sanaUna laana weye!
Ina maana wanawake wote wanaopitia sexual harassment Huwa wanaafanyiwa hivyo vimbwanga na wanaume warefu tu pekee , naona mnajaribu sana kutuchafua wanaume warefu ,Kumbe ndio maana utakuta mwanamke anateseka kwenye mahusiano, ananyanyaswa, anapigwa, anatendwa lakini anavumila hatoki kwasababu tu ya kimo..[emoji24]
[emoji1787][emoji1787] pole sanaSasa unataka kunishana na nature
Tuna zungumzia maumbile Pesa ni kitu Ambacho kina tafutwa na gender yoyote Ile hakina mahusiano yoyote yale na urefu Wala ufupi tafadhaliUWE MREFU HALAFU HUNA HELA UNAKUWA SAWA NA NGUZO INAYOTEMBEA (mobile pole), kitanda cha futi sita hakikutoshi, uzeeni kujisaidia utaimba iyena!, jangwani ni rahisi kupigwa na radi!
Urefu ni mfuko wako tu nilishasema ukiwa na pesa wadada huwa wananyege balaa!
Tafta pesa!
Ukiwa mrefu watasema wanataka baunsa, ukiwa baunsa watakwambia wanataka mwanaume mwenye gari! Ukiwa na gari watakwambia wanataka mwanaume mwenye nguvu za kiume msimamia kucha,
Ukisimamia kucha wanakwambia hawatako mario mwanaume suruali
KIUFUPI TAFTA PESA! MENGINE ACHANA NAYO
[emoji1787]Unataka kuwapa vijana wa watu presha wewe.
Tulikufanya nini hadi utufungulie uzi hapa?Huo ndio ukweli watu wafupi mna visa na vituko sana
Hapana hakuna niliposema hivyo labda kama hujanielewa vemaIna maana wanawake wote wanaopitia sexual harassment Huwa wanaafanyiwa hivyo vimbwanga na wanaume warefu tu pekee , naona mnajaribu sana kutuchafua wanaume warefu ,
Ukweli ni kwamba Kuna mahusiano ya karibu sana baina ya uungwana na wanaume warefu tuko so gentle [emoji1787]
Hongera kwa kuolewa na ntu nfupi🤣Na wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
Wafupi mna taabu kwwlikweli...Kumbe ndio maana utakuta mwanamke anateseka kwenye mahusiano, ananyanyaswa, anapigwa, anatendwa lakini anavumila hatoki kwasababu tu ya kimo..[emoji24]
Mchawi pesa tu. Wengine na urefu walionao haujawasaidia chochote . Wangekuwa USA wangekuwa na ndoto za kuwa basketball players na wangefanikiwa. Urefu haulipi Kodi, haujengi nyumba Bahari beach na Wala haununui Audi, BMW, Mercedes Benz au Ranger Rover sport. Ukiwa mrefu halafu una pesa Raha sana
Naona unataka kujibebea kitu flani uku afu tukukute kule kwenye uzi wa kimasihara.Warefu hatuna dharau
Wala hatuchukulii urefu wetu kwamba ni ishu kubwa.
Ni kweli wanawake wanatupenda na wanawaponda sana wanaume wafupi huo ni ukweli.
Mimi ni mrefu 😂😂😂