hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Mambo beautiful [emoji7]Vistuli mmefikwa,
View attachment 2317744
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo beautiful [emoji7]Vistuli mmefikwa,
View attachment 2317744
Agiza Baltimore inayotoa jasho bill kwanguNa wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
Labda wagweno[emoji1550]Wapare tutakua wageni wa Nani?
Yah Wana wengi tunaringana, yeye Ni mrefu sanaInategemea ..urefu na ufupi unapimwa na mtu uliyesimama naye. Kama yeye ni mrefu kuliko wewe baai utakuwa Ni mfupi kwake. Ila kuna ukisimama nao wewe inaonekana mrefu.
Hey boo! Je, nawe ni mfupi?Mambo beautiful [emoji7]
Nisamehe sana mwalimu kama nimekukwaza, lkn huyu mwenzio katuudhi sana, sijui tumemkosea nn wanaume😪Barikiwa,lakini kama wewe ni mfupi ungeweza hata kukaa kimya tu mkuu...msitutukane sana tafadhali
Sisi watu wafupi(kutokana na maumbile yetu) mioyo yetu iko karibu sana na uliko mfuko wa mavi Sasa lile joto la pale linasababisha Moyo Unakua juu juu na hivyo tunakua na hasira muda wote mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] oyaaa mbona ume panic brother
Big no mom , [emoji7]Hey boo! Je, nawe ni mfupi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sisi watu wafupi(kutokana na maumbile yetu) mioyo yetu iko karibu sana na uliko mfuko wa mavi Sasa lile joto la pale linasababisha Moyo Unakua juu juu na hivyo tunakua na hasira muda wote mkuu.
Hahaha kwani mkuu una urefu wa foot ngapi?Sisi watu wafupi(kutokana na maumbile yetu) mioyo yetu iko karibu sana na uliko mfuko wa mavi Sasa lile joto la pale linasababisha Moyo Unakua juu juu na hivyo tunakua na hasira muda wote mkuu.
Habari
Jamani wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akikukis unafeel uko na mtu sasa shida ipo hawa vifupi jamani dah.
Mpaka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ila warefu hata akiwa mbali unatamani muda wote awepo karibu mchumuchumu tu.
Kelsea u have been warned🤣🤣🤣🤣Na wafupi kama nini ndio waoaji...
Warefu kama miti wanakula wanaacha...
Big no mom , [emoji7]
Mimi mrefu wa kutosha mom
Sasa wee endelea kuenjoy 🤣🤣🤣🤣🤣Ila Yupo sahihi 🤪
😂😂😂 Niombee mema rafiki yako bwana.Sasa wee endelea kuenjoy 🤣🤣🤣🤣🤣
Nakuombeaje mema wakati mie mwenyewe roho inauma kiwa mke wangu to be unajichelewesha tuu😂😂😂 Niombee mema rafiki yako bwana.