Wanaume warefu watamu sana

Wanaume warefu watamu sana

Nipo 'nomo'[emoji23]

Sema tukianza ubaguzi itakuwa tunamkosea Muumba,leo sisi wenye hela tuwabague wanawake wasio na kitu isipokuwa mbunye pekee ndicho wanachomiliki,itapendeza!!

Wembamba wabaguliwe,je itapendeza!!
Mabonge wabaguliwe maana wengi ni wanuka mbunye(hawajitunzi,wachafu) je itapendeza?


Tunamkosea Muumba.Je,sisi wenye mashine tamu tukiwa 'selective' je,itapendeza!

Wanawake ambao 'viuno-gogo' hata unyagoni hamjapita kwende kujifunza a b c.. nanyi tuwatenge, je,itawapendeza!

Ijapokuwa mi nina futi zangu 5 kasoro visentimeta kadhaa nifike f6 ila nachukia ubaguzi.
[emoji1787][emoji1666]
 
Habari

Jamani wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akikukis unafeel uko na mtu sasa shida ipo hawa vifupi jamani dah.

Mpaka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ila warefu hata akiwa mbali unatamani muda wote awepo karibu mchumuchumu tu.
Mwachiluwi Gily Gru
 
Unakosoa uumbaji wa Mungu? Je unaweza kuumba hata kope ya mtoto wako muombe Mungu msamaha uumbaji ni wake unapoukosoa haukosoi hao wafupi ila unamkosoa Mungu aliewaumba. Japo ufupi si kilema je unaweza kumcheka kilema kwa kuzaliwa vile alivyo je wewe na anayewacheka albino kuna tofauti? Tafakari tubu!
 
5 feet and 9.685 inches kibongo bongo huyu ni mrefu
Kama ni demu huo ni urefu wa zaiylisaa hivyo ni tall sana ni kama mwanaume wa 6'6 ft kibongo hivyo ata stand out sana maana kiasili wanawake ni wafupi kuliko wanaume

Ila Kama ni mwanaume ni urefu wa kawaida sana japo uta stand out some places minor
 
Back
Top Bottom