Wanaume warefu watamu sana

Wanaume warefu watamu sana

Kama sisi tunavyowachukia vimbau mbau kama wewe. Nani anataka mifupa[emoji23]


oya sisi wa f5 na nusu tupo kundi gani la urefu?
 
Wafupi mna taabu kwwlikweli...
Ccc mzee wa liquid
giphy.gif
 
Sisi wanaume warefu huwa tunawaona wanaume wafupi Kama kundi linalohitaji uangalizi maalum maana vijamaa vinateswa sana vikipata dem vinang'ang'ania hata Kama havipendwi kwasababu huwa hawana uhakika wa kupata dem mwngne
dah kweli mnatupondea
 
Sisi wanaume warefu huwa tunawaona wanaume wafupi Kama kundi linalohitaji uangalizi maalum maana vijamaa vinateswa sana vikipata dem vinang'ang'ania hata Kama havipendwi kwasababu huwa hawana uhakika wa kupata dem mwngne
🤣🤣🤣🤣 mtamezesha watu sumu wakuu. Chezeni chini. Oh sorry!!!! Tukachezeshe juuu uku chini wastambue.
 
Uwe una pesa zote dunia hii lakini kama kuna kitu umekosa ni umekosa tu. Kama Mungu hajakupa ni hajakupa tu

Mwanamke kukuvumilia apate pesa yako haina tofauti na mfanyabiashara anavyovumilia matusi ya wateja ili apate pesa zao. Sio kwamba hakereki au akiwa na mashoga zake hakuiti majina ya ajabu ila anakuvumilia tu na ukikosa anaondoka, kwa hiyo wewe ni ATM na yeye ni sex machine yako,

Uzuri dunia hii ni wachache wanakosa wa kuwapenda au kuwakubali jinsi walivyo, mfano wafupi wengi huwa wana personality nzuri hasa za ucheshi na wengine wana akili au attributes nyingine..

So ukinyimwa usidhani pesa itasaidia Hapana, ni kujikubali tu na kuwa confident kwa kile umepewaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari

Jaman wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akikukis unafeel uko na mtu sasa shida ipoa hawa vifupi jamani dah

Mpaka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ila warefu hata akiwa mbali unatamani muda wote awepo karibu mchumuchumu tu
Mi mfupi naomba nije nikumwagie kidogo pls
 
Back
Top Bottom