Wanaume wasiojiamini(insecure) ndio wanashadadia zaidi (wako obsessive) kupata wanawake bikira.

Wanaume wasiojiamini(insecure) ndio wanashadadia zaidi (wako obsessive) kupata wanawake bikira.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mwanaume mwenye kipato duni mara nyingi akiwa na mwanamke mzuri aliyewahi kupita kwa wanaume wengine lazima kuna hofu fulani anayokuwa nayo.

Mwanaume domo zege au asiyejua kutongoza vizuri huwa anapata shida sana kupata wanawake anaowatamani hasa akiwa hana pesa.

Mwisho mwanaume ambaye sex game yake ni mbovu kwa sababu zozote zile lazima atakuwa kila mara anajaribu kujilinganisha na wanaume wengine waliowahi kuwa na mwanamke wake na kupata hofu kila mara anapohisi mwanamke wake haridhiki.
 
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mwanaume mwenye kipato duni mara nyingi akiwa na mwanamke mzuri aliyewahi kupita kwa wanaume wengine lazima kuna hofu fulani anayokuwa nayo.

Mwanaume domo zege au asiyejua kutongoza vizuri huwa anapata shida sana kupata wanawake anaowatamani hasa akiwa hana pesa.

Mwisho mwanaume ambaye sex game yake ni mbovu kwa sababu zozote zile lazima atakuwa kila mara anajaribu kujilinganisha na wanaume wengine waliowahi kuwa na mwanamke wake na kupata hofu kila mara anapohisi mwanamke wake haridhiki.
Ni kweli mawazo ya kila mtu yaheshimiwe ila linapokuja swala la personal preferences alaf unamwita mwenzako insecure huo ni upumbavu wa hali ya juu.

Kwa huu ujinga ulioandika, mtoe Einsten kweny profile picture yako, ufute huu uzi, deactivate account yako.
 
"wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mkuu, acha watu waweke Standard zao katika kuchagua kilicho bora kwao.

Hakuna UFAHARI wowote kulala na mwanamke ambaye ameshaona kila aina ya Seiling board(MALAYA).
1. Hio ni ishara ya DOMO ZEGE, kwakuwa kutongoza MALAYA ni RAHISI kuliko kutongoza Bikira.

2. Pia kipato chako kutumia na MALAYA sio UFAHARI, ni matumizi mabaya ya pesa kwasababu unatumia pesa nyingi kwenye kitu kisicho bora.

Be a Man, Mwanaume kupata bikira ni chaguo BEST, ila kutokana na Bikira hazipo mtaani basi ni vizuri ukapata mwanamke mwenye namba ndogo ya wanaume waliowahi kumkaza.

NOTE: Watu aina yako mnaitwa Captain-save-a-hoe, mpo duniani mnakula mabaki ya wengine(kama fisi), hamuwezi kuwinda. Infact ukiwa MJINGA, hata ukipata PESA bado utabakia kuwa Mjinga mwenye Pesa.
 
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mwanaume mwenye kipato duni mara nyingi akiwa na mwanamke mzuri aliyewahi kupita kwa wanaume wengine lazima kuna hofu fulani anayokuwa nayo.

Mwanaume domo zege au asiyejua kutongoza vizuri huwa anapata shida sana kupata wanawake anaowatamani hasa akiwa hana pesa.

Mwisho mwanaume ambaye sex game yake ni mbovu kwa sababu zozote zile lazima atakuwa kila mara anajaribu kujilinganisha na wanaume wengine waliowahi kuwa na mwanamke wake na kupata hofu kila mara anapohisi mwanamke wake haridhiki.
Kama wewe hukukutwa na bikra isiwe sababu ya kuwaandalia waraka wanaosaka mabikra,kwanza wewe si msemaji wa wanaume wanaotafuta wanawake wenye bikra na pia umoja wa wanaume wasaka mabikra haukutambui.
 
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mwanaume mwenye kipato duni mara nyingi akiwa na mwanamke mzuri aliyewahi kupita kwa wanaume wengine lazima kuna hofu fulani anayokuwa nayo.

Mwanaume domo zege au asiyejua kutongoza vizuri huwa anapata shida sana kupata wanawake anaowatamani hasa akiwa hana pesa.

Mwisho mwanaume ambaye sex game yake ni mbovu kwa sababu zozote zile lazima atakuwa kila mara anajaribu kujilinganisha na wanaume wengine waliowahi kuwa na mwanamke wake na kupata hofu kila mara anapohisi mwanamke wake haridhiki.
Litakupata jambo mzee hakuna mwanaume asyependa kufungua utepe wa kwanza ispokuwa kuwapata ni nadra na pia Ata ukiwapata unakuta labda ni rika la mdogo wako /mwanao lakini yule bikra saiz yako kumpata ni mshike mshike sana sana labda kama mtu unataka kwenda jela🤣mvua thelathini domba mwanafunzi
 
Kwenye maisha kila mtu ana standards zake, kuna anaona kuoa single mom ni sawa wakati mwingine anaona sio level zake, mwingine anaona kuoa under 20 ni sawa wakati mwingine anaona sio sawa, mwingine anasema yeye ni bikra na bikra na yeye wakati mwingine anataka a well experienced woman in bed. Ni kanuni tu ndogondogo watu wanajiwekea na wala hazina athari kwa wengine.
 
Kwa hiyo kutaka Simu mpya, nguo mpya, gari jipya, au kitu kipya Siku hizi NI kuwa insecure au kutokujiamini?

Unatatizo la msingi
Kwanza ni upuuzi kumfananisha binadamu kama bidhaa, ila pia hata hiko kinachoitwa bikira ni idea na saikolojia tu inayotokana na mila na tamaduni, bikira ni sex myth, virginity is not even a real thing.
 
Kwenye maisha kila mtu ana standards zake, kuna anaona kuoa single mom ni sawa wakati mwingine anaona sio level zake, mwingine anaona kuoa under 20 ni sawa wakati mwingine anaona sio sawa, mwingine anasema yeye ni bikra na bikra na yeye wakati mwingine anataka a well experienced woman in bed. Ni kanuni tu ndogondogo watu wanajiwekea na wala hazina athari kwa wengine.
Standards nyingine ni za kipuuzi na kijima, sio kila standards zina mashiko.
 
Standards nyingine ni za kipuuzi na kijima, sio kila standards zina mashiko.
Zinaweza kuwa za kipuuzi kwako na kwa mwingine, ila sio kwa wote.
Mkuu, learn to live a diverse life.
 
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mwanaume mwenye kipato duni mara nyingi akiwa na mwanamke mzuri aliyewahi kupita kwa wanaume wengine lazima kuna hofu fulani anayokuwa nayo.

Mwanaume domo zege au asiyejua kutongoza vizuri huwa anapata shida sana kupata wanawake anaowatamani hasa akiwa hana pesa.

Mwisho mwanaume ambaye sex game yake ni mbovu kwa sababu zozote zile lazima atakuwa kila mara anajaribu kujilinganisha na wanaume wengine waliowahi kuwa na mwanamke wake na kupata hofu kila mara anapohisi mwanamke wake haridhiki.
Pumba!🚮
 
Kila mtu afanye kitu kinacho mpa furaha kwenye maisha yake, akiona bikra ndo furaha yake basi mtazamo wake uheshimiwe Akiona kuoa malaya ndo faraha yake basi mtazamo wake uheshimiwe.
Tabia wa kurazimisha mtazamo wako uwe ndo mtazamo wa watu wa dunia nzima ni upumbavu.
 
Standards nyingine ni za kipuuzi na kijima, sio kila standards zina mashiko.
Moja wapo ya tabia za kijima ni kurazimisha mtazamo wako uwe wa watu wote.
 
Back
Top Bottom