Wanaume wasiojiamini(insecure) ndio wanashadadia zaidi (wako obsessive) kupata wanawake bikira.

Wanaume wasiojiamini(insecure) ndio wanashadadia zaidi (wako obsessive) kupata wanawake bikira.

Mbona mashoga mnawapiga marufuku Tanzania?

Kila mtu afanye kitu kinacho mpa furaha kwenye maisha yake, akiona bikra ndo furaha yake basi mtazamo wake uheshimiwe Akiona kuoa malaya ndo faraha yake basi mtazamo wake uheshimiwe.
Tabia wa kurazimisha mtazamo wako uwe ndo mtazamo wa watu wa dunia nzima ni upumbavu.
We kenge umeerewah?
Yoda
 
Ninyi ni aina ya wanaume wasio na misimamo.
Aliemua kuchagua bikra muache na wewe ulieamua kwenda kutafuta demu kimboka ni wewe na machagua yako.
 
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo mwanaume hajiamini/ana insecurity inayotokana na kipato, domo zege au uwezo duni wa kufanya mapenzi na kumridhisha mwanamke.

Mwanaume mwenye kipato duni mara nyingi akiwa na mwanamke mzuri aliyewahi kupita kwa wanaume wengine lazima kuna hofu fulani anayokuwa nayo.

Mwanaume domo zege au asiyejua kutongoza vizuri huwa anapata shida sana kupata wanawake anaowatamani hasa akiwa hana pesa.

Mwisho mwanaume ambaye sex game yake ni mbovu kwa sababu zozote zile lazima atakuwa kila mara anajaribu kujilinganisha na wanaume wengine waliowahi kuwa na mwanamke wake na kupata hofu kila mara anapohisi mwanamke wake haridhiki.
Kwamba Bikra kuwepo kwa wasichana ni makosa ya kiufundi hivi!.
 
Kwamba Bikra kuwepo kwa wasichana ni makosa ya kiufundi hivi!.
Bikira ni myth na idea tu vichwani mwa watu, sio kitu halisi, sio kitu tangible, sio kitu physical, hata Kisayansi haiwezi kuthibitishwa kama mwanamke ni bikira.
Ni ujinga mtupu wa mila na tamaduni za kale.
 
Hakuna ugomvi,lakini tukubali tukatae aliyeoa nungayembe kuzawadiwa toto moja la X wa mkewe ni kugusa tu.

Anakuta kuna dogo mmoja kila akimwangalia nafsi inagoma kabisa kukubali amemtoa yeye kiunoni,ukijikuta ktk hali hiyo mzee jua umeshapigwa kitu kizito sana kichwani.
 
Bikira ni myth na idea tu vichwani mwa watu, sio kitu halisi, sio kitu tangible, sio kitu physical, hata Kisayansi haiwezi kuthibitishwa kama mwanamke ni bikira.
Ni ujinga mtupu wa mila na tamaduni za kale.
Masta taratibu basi.

Unatuona humu wote watoto nini maana naona umetubeba nginja nginja,ina maana huwezi kumjua mwanamke aliyeingiliwa na asiyeingiliwa?
 
Masta taratibu basi.

Unatuona humu wote watoto nini maana naona umetubeba nginja nginja,ina maana huwezi kumjua mwanamke aliyeingiliwa na asiyeingiliwa?
Ukweli ndio huo, Hakuna kipimo cha kisayansi, kibaolojia au physical kupima kwa mwanamke kitu kinachoitwa bikira. Njia pekee ya kujua kama mwanamke mtu mzima amewahi kufanya mapenzi au hajawahi ni yeye mwenyewe akuambie.
 
Nimeona kuna video moja mtandaoni kuna saloon wanasema wanarudisha bikra iliyopote sijui kuna ukweli gani hapo
 
Kila mtu afanye kitu kinacho mpa furaha kwenye maisha yake, akiona bikra ndo furaha yake basi mtazamo wake uheshimiwe Akiona kuoa malaya ndo faraha yake basi mtazamo wake uheshimiwe.
Tabia wa kurazimisha mtazamo wako uwe ndo mtazamo wa watu wa dunia nzima ni upumbavu.
Nani kakulazimisha?!
Wewe ukitaka njoo nikuonyeshe hata watu wanaouza dawa ya kumrudisha bikira mke wako uipate hiyo furaha yako ya bikira.
 
Nimeona kuna video moja mtandaoni kuna saloon wanasema wanarudisha bikra iliyopote sijui kuna ukweli gani hapo
Duniani kila kitu ni fursa kwa wajanja na wajinga wanazaliwa kila siku,
Hata wasaka bikira ni fursa kwa wajanja
 
Mkuu, acha watu waweke Standard zao katika kuchagua kilicho bora kwao.

Hakuna UFAHARI wowote kulala na mwanamke ambaye ameshaona kila aina ya Seiling board(MALAYA).
1. Hio ni ishara ya DOMO ZEGE, kwakuwa kutongoza MALAYA ni RAHISI kuliko kutongoza Bikira.

2. Pia kipato chako kutumia na MALAYA sio UFAHARI, ni matumizi mabaya ya pesa kwasababu unatumia pesa nyingi kwenye kitu kisicho bora.

Be a Man, Mwanaume kupata bikira ni chaguo BEST, ila kutokana na Bikira hazipo mtaani basi ni vizuri ukapata mwanamke mwenye namba ndogo ya wanaume waliowahi kumkaza.

NOTE: Watu aina yako mnaitwa Captain-save-a-hoe, mpo duniani mnakula mabaki ya wengine(kama fisi), hamuwezi kuwinda. Infact ukiwa MJINGA, hata ukipata PESA bado utabakia kuwa Mjinga mwenye Pesa.
Endelea kukariri ujinga wa kusaka bikira au mwanamke aliyetembea na namba ndogo ya wanaume ukifikiri ina tofauti yoyote.
 
Back
Top Bottom