for now that is where you belong, ukikua ntakujuza zaidi
19 year from now when you are approaching 40 i will share or probably utakua umeshajua... inshallah
May i sepa this Q&A for now my cute little daughter?
Gimme this man anyday of the year!mwanaume anaweza akapika na kuwa romantic lakini hafanyi mambo ya msingi. Mfano mmepanga, watoto hawana ada, tabia ndani vururuvururu.
Nadhani mie nahitaji a man in a man's body na sio a woman in a man's body.
Hehehe I can't wait to prove you wrong, tuombe Mungu tu atujalie uzima.
And , yes.You are off the hook. . . . for now.
kwa tuliooa miaka mingi na tuliofundishwa na wakubwa tunaelewa hilo, ila vitoto vikianza kutaka kujua sana huwa tunaishia kuvipa link zinazoendana na age zao
i learnt this sentence or fact in 1997 wakati natangaza ndoa na mzee alinitoa tukadrive hadi arusha njia nzima alinipa lecture nikaelewa anasema nini
since then, sihangaiki kujua wanataka nini bali nahangaikia kujua nimpe nini
me penda hii postNdio ivo na the more unampa mwanamke the more she demands vitu vingine kwa hiyo lazima ujue capacity yako na nini cha muhimu kwa mkeo kwa wakati gani.
Hawa mabinti wataelewa tu, its a matter of time and experience. Hata sie tulitoka huko.
Unamuona kabisa baba watoto anapiga mechi ya mchangani lakini unajidai huoni to make life go easily.
Naamini kuna vitu ambavyo mwanamme akifanya am happy lakini kupika na kuosha watoto is not a priority to me. Anyway tuna idea tofauti ya marriage kutokana na bckground zetu.
Gimme this man anyday of the year!
Si bora huyu kuliko mwenye kujifanya anawajibika ada na mengine lakini mkorofi hana mapenzi.
Yap hiyo ni kweli...., nakumbuka nilifundishwa kupika na mama yangu, then ikaja kunisaidia nilipoenda kusoma nje ya nchi. Nilikuwa napika mwenyewe coz vyakula vya chuoni havikuwa vizuri,licha ya hivyo nyama iliyokuwa ikitumika sana ni kitimoto, ambacho kwa imani yangu. huwa sili.
Na hadi leo hii najiamni saana kuwa hata kama siku mtarajiwa wangu akiwa anaumwa, haina haja ya kununua viepe, ni mwendo wa kushika mwiko tu...!
aina gani ya mama... ungetoa na sifa za mama kwanza
Ukorofi mkubwa wa mwanamme kwa mkewe ni kumnyima chakula ya usiku. Kama chakula ya usiku ipo kama kawa na kwa kiwango husika, watoto wanasoma, basic needs za familia zinapatikana sioni tatizo mapungufu mengine kila mtu anayo
Ina maana mwanaume ananyima mke au mke ananyima mume?
Nijuzeni vizuri apo.
Mwanamme anamnyima mwanamke hata mwaka au anapita rasha rasha, hujawahi sikia?
Hapo ndo unamskia mwanamke analalamika, huyu mkorofi huyu mkorofi, akiulizwa kafanyaje hasemi anajibu tu mkorofi sana
The environment also plays a role in shaping someone's behaviorTabia ya mtu huwa ni ya kurithi!
The way I see it ni kuwa kulelewa na mama kwa karibu (kuzuri siyo kuharibiwa) kunampa kijana sensitivity ya aina fulani ya mahitaji, feelings na mahitaji ya watu wengine. Mtu wa namna hiyo anaweza kabisa kuwa anajali to a fault. Na watu kama hao wanatengeneza balance ya ajabu sana. Ubaya wake pia ni kuwa kwa vile wanaweza kuwa very sensitive they can easily win mioyo ya wanawake na ndio unaweza kuona wanakuwa players. Hadi mtu huyo ajitambue vizuri na kutengeneza balance basi anaweza kupata shida kidogo ukubwani. Lakini mwanamke ambaye anakuwa na huyo mtu atafurahi kuanzia sebuleni, jikoni hadi..... !
Uzoefu unaonyesha wanaume waliolelewa na baba zao:
MHH... unamaanisha mwanaume asiyeishi na mke/mwanamke mwenye kulea kama mzazi peke?
KAZI IPO! KAMA HII NI SIFA MBONA POLE!Wanapiga masanga kwa wingi
YA KWELI HAYO?Wana ujasiri wa hali ya juu
Hawadekideki hovyo
Hawabagui misosi, wanaridhika na mapishi yoyote yale
Siyo mabishoo wala masharobaro
Ama kweli kupanga ni kuchagua.Ina maana hawana standards?!Siyo nadhifu! Mhhh hata kwa kiboko siwataki wa namna hii
Ni wahangaikaji wa kusaka mikwanja
Wakishasaka zinaishia kwenye masanga/pombe...sasa wanini mhangaikaji kama huyo?
Hawawapelelezi wanawake hovyo hovyo, wanawaamini.
Siyo wambea.
Kasema nani? Hizi ni hulka tu haijalishi kalelewa na nani
Utafiti huo ukonyesha tena kuwa wanawake wengi hupenda wanaume wa namna hii.
Utafiti upi? Hii porojo uliyoweka hapa ndo unaita utafiti?
CONCLUSION: Malezi ya baba na mama ni bora zaidi kuliko malezi ya mzazi mmoja bila kujalisha jinsia.
That means I am a player?
Sasa huyu mwanaume akisaidiwa bado atalalama?
Namtaka wa kihivyo!