klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Hapo red ndio wimbo wa taifa wao kinamama, mtoto wa kiume haambiwi pole bana, wa kiume anaambiwa komaa. mmeelewa wamama wa JF?Hahahaha nimeshuhudia sana alafu mama analibembeleza utasikia mm ugali sitaki nataka chipsi kuku mama utasikia pole mwanangu utakula tu.
Tobaaaa....Wewe pia jiandae manake nakaribia kuingia kwa dokta, wakisema nnao nakufuata kabla jua halijazama.
Dakika zinayoyoma kamanda lakini dogo akizembea naondoka na kifaa dakika ya 90, nimekaa mkao wa fisiUnamaanisha dogo tayari anamiliki AD duhh kazi ipo.
Lol....Mpwa hadi nifunge naye ndoa ndio utaamini?
Khaaa! acha nibloki PMWewe pia jiandae manake nakaribia kuingia kwa dokta, wakisema nnao nakufuata kabla jua halijazama.
Nini TF? Umejikwaa kidole kwenye keyboard au?Tobaaaa....
Enhee mwalim gaijin tunaomba umjibu greti thinka gathii, halaf jamaa kaibuka bila umaarufu. Hii ndo JF bana
ilo tu ndo la ukweli
wale waliokuwa na baba lakini wakatii sana mafundisho ya mama zao.wako independent zaidi, hawanaga makeke sana kwa wake zao, nk...
mzee mwanakijiji, smu, fidel80 and 6 others like this.
thought is the sculptor who can create the person you want to be.
Umeona eeh! na jengine linakwenda kwa mama kushtaki "mama nimenenepa kufuli limenifanyisha fangasi naomba ukaninunulie kufuli jengine la ekstra laji" , Khaaa! kimelipukaHFellow tablet, ulishaona jidume liko fomu siksi linafuliwa boxer yake na mama yake? Maanina zao!
Sasa mbona hupokei simu? Pokea bana sikuombi vocha....majibu yangu tayari ndio napiga kukusomea hupokei..Khaaa! acha nibloki PM
Hahaha Klorokwini bana! Mie nilijua visa hivyo huwa katika zile nyumba ambazo wanajiita "modern". Malezi ya kisasa pekee, kumbe hata Tandale yapo?
Bora uwaambie DC, wengine hatuna serekali ya kutupeleka kutibiwa India.Klorokwini na wenzio....hebu zitendee haki mbavu zetu...
Kabla sijaendelea kuupigia kura huu mswada:
Hivi wanavusema huyu ni "mtoto wa mama" wanamaanisha nini?
Niko kwenye maandamano huku. HIV inatishia amani ya kitandani.
Khaa! kuna limoja lilikuwa linalalamika mamake kalinunulia andawea nyeupe......... khaa! mpaka rangi yanachaguaga haya matoto ya mama, sijui huwa yanafikiri kuna siku nayo yatableed?Umeona eeh! na jengine linakwenda kwa mama kushtaki "mama nimenenepa kufuli limenifanyisha fangasi naomba ukaninunulie kufuli jengine la ekstra laji" , Khaaa! kimelipuka
heri babu useme nimehamasisha humu ila wote wamenigomea kupimakabla sijaendelea kuupigia kura huu mswada:
Hivi wanavusema huyu ni "mtoto wa mama" wanamaanisha nini?
Niko kwenye maandamano huku. hiv inatishia amani ya kitandani.
Huyo Gathii nimekosa jibu la kumpa kwa sababu keshalazimisha niwe nimetumia definition hiyo alotaka yeye. 😀
Sio kila correlation coefficient inapimwa kama hivyo alivyosema. Yeye anazungumzia Pearson's Product Moment correlation coefficient wakati kuna tele nyengine zimejaa
kapokea majibu yake hapanini tf? Umejikwaa kidole kwenye keyboard au?
Sasa mbona hupokei simu? Pokea bana sikuombi vocha....majibu yangu tayari ndio napiga kukusomea hupokei..