Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Yote tulioandika humu mbwembwe nyingi kikubwa maridhiano pesa sawa imekosekana powa siyo kila siku mtabaki kuwa na pesa iko mtaishiwa,huyo handsome iko siku atamwagikiwa na maji ya rejeta usoni mara pa nusu mdhungu kuna maisha hapo? Acheni kuchagua sana kumbukeni muda nao si rafiki mwisho wa siku mwaja kulalamika humu et nian35+ na sina dalili ya kuolewa,wakati ww mwenyewe ulikuwa mbaguzi kuzidi kaburu!
 
Utafanya vikongwe wamalize haraka ppension zao, tafadhali
 
Kwani ananipa nni ambacho siwez kupata kwengine, hela nimpe, kitandani ni mkojoleshe na niwe mchangamfu pia
Unless there is a real value she is adding to my life labda
Nadhani cha muhimu ni uwe na fedha na uzitumie yeye anavyotaka,pia kuwepo na uwezo mkubwa wa kumridhisha 6 kwa 6,na mwisho uwe ni mchangamfu
 
Kwani ananipa nni ambacho siwez kupata kwengine, hela nimpe, kitandani ni mkojoleshe na niwe mchangamfu pia
Unless there is a real value she is adding to my life labda
ha ha ha ha hizo akili huwa zinakuja baada ya game
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…