Wanaume wengi ni Misukule ya Wanawake. Wana utumwa wa kifikra.

Tatizo wanapenda kufungua zipu kuliko kitu kingine wacha wawe MISUKULE TU
 
Unamnunulia mwanamke kitu cha thamani ambacho wewe mwenyewe haujawahi kukinunua kwaajili yako MWENYEWE. Wewe ni MSUKULE
 
Fanya Kazi
Jipende,
Jijenge na jiimarishe.
Usiwafuate na kubembelezana na wanawake. Watakufuata wenyewe.
 
MIMI NASIKITIKIA SANA ILE MISUKULE YA WANAWAKE INAYO SEMAGA 👉 BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU 😄 hii ni mipumbavu iliyo kubuu yani ni MIANITHI YA AKILI ILIYO TUKUKA
 
Wee mwamba umevutaa???. Maana una point sana point kama hizi nazisikiaga maskani nikiwa na wana wakivuta vp umevuta?????
 
Hili somo madogo wa siku hawaelewi ila ndio ukweli
 
Kwahizi nondo hakuna kima wa kula pesa yangu🤣🤣🤣

Shamila naomba usibadilike
 
Hoja zako zina msingi sana, kama vijana hawawezi kusoma na kuelewa basi tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…