Wanaume wengi ni Misukule ya Wanawake. Wana utumwa wa kifikra.

Misukule mnaitwa huku, kuna ujumbe wenu kutoka kwa Mtibeli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume wengi[ misukule] wanafeli kwa kuwa hawana Emotional Intelligence.
 
Wasipoelewa hapa usirudie tena✊.
Acha waendelee kula pumba na shudu.
 
Wengine wameshawekeza kwa masingo Maza.

Watu wameshajipigia weee, mtu anakuja kumpigia magoti na kumvika pete, what the https://jamii.app/JFUserGuide.

Kuna wanawake wadogo wadogo wazuri kibao hawana watoto wala nini, kwani hawaonekani?
 
6. Unajiamini Kisa Pesa. Wewe ni MSUKULE tuu.
Mwanaume Halisi hahitaji pesa ili ajiamini.
Mwanaume anayejiamini Kisa Pesa Hana tofauti na mwanamke anayejiamini Kisa Kapaka Wanja au Make-up.
Wambie wambie wale wazee wa Tafuta Hela.....kila wanapoona mwanamke mzuri.

Niliwahi kula demu mkali sana miaka kama mitatu hivi wakati huo sitoi hata mia mbovu na wala smimi.sio Handsome
I was only Rich of Manhood/ Alpha Male characters
 
Umefoka kwelikweli! 😁, sijui kama watakuelewa hawo misukule!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…