Kilichokuleta huku kuandika ni nini si ungetunga shairi la kuwaasifu hao waume zako kwenye hiyo mitandao pendwa uwawekee huko? Pambafff!Habari ndio hiyo wanaume wanaotumia mtandao huu wa jf na facebook mnaongoza kwa uchovu na hali mbaya, hasaa hawa wa jf ndio kichefuchefu maneno mengi yamewajaa lakini mifuko imetoboka na mapenzi hamjui hasa wale wa mkoani
Ifuatayo ndio mitandao yenye wanaume wenye pesa na wanaojua mapenzi
1.twitter
2.skype
3.Badoo
4.snapchat
5.reddit
Wee ujue niko kwenye kikao cha famikia aseeKwa hiyo huko ndiko umehamishia biashara baada ya kukosa soko Facebook&jamii forums??
Mkuu kuna kahaba wa kiume?! Huyo ni walewale wakina kaoge.We kahaba tu
Kweli mkuu. Inaonekana wanaume wote wa kwenye mitandao kaishatembea naoMkuu kuna kahaba wa kiume?! Huyo ni walewale wakina kaoge.