Wanaume wengi wa JF na facebook ni wachovu tofauti na wanaume wa mitandao mingine

Wanaume wengi wa JF na facebook ni wachovu tofauti na wanaume wa mitandao mingine

richaabra

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
1,472
Reaction score
3,511
Habari ndio hiyo wanaume wanaotumia mtandao huu wa jf na facebook mnaongoza kwa uchovu na hali mbaya, hasaa hawa wa jf ndio kichefuchefu maneno mengi yamewajaa lakini mifuko imetoboka na mapenzi hamjui hasa wale wa mkoani
7db15487b406304c0c1c56b97d45cdaf.jpg

056a08cc199a0e6c755866d488d6a397.jpg

Ifuatayo ndio mitandao yenye wanaume wenye pesa na wanaojua mapenzi

1.twitter
2.skype
3.Badoo
4.snapchat
5.reddit

Povu ruksa jomon[emoji23][emoji23]
 
Habari ndio hiyo wanaume wanaotumia mtandao huu wa jf na facebook mnaongoza kwa uchovu na hali mbaya, hasaa hawa wa jf ndio kichefuchefu maneno mengi yamewajaa lakini mifuko imetoboka na mapenzi hamjui hasa wale wa mkoani

Ifuatayo ndio mitandao yenye wanaume wenye pesa na wanaojua mapenzi

1.twitter
2.skype
3.Badoo
4.snapchat
5.reddit
Kilichokuleta huku kuandika ni nini si ungetunga shairi la kuwaasifu hao waume zako kwenye hiyo mitandao pendwa uwawekee huko? Pambafff!
 
Bila shaka mleta uzi anauza **** na wateja wa jf hawana habari naye au wanamdalalia sana ndo maana anawaita wachovu
 
Kwa hiyo huko ndiko umehamishia biashara baada ya kukosa soko Facebook&jamii forums??
Wee ujue niko kwenye kikao cha famikia asee


Sasa unanichekesha hivu!!!?

Kama wapinzani wenyewe wameanza kuvikimbia vyama kwa sababu ta vyuma kukaza sembuse wao??
 
Back
Top Bottom