Wanaume wengi wa kibongo hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake face-to-face

Wanaume wengi wa kibongo hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake face-to-face

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
 
Ndio umuhimu wa uwepo Wa haya mawasiliano...
Unaangalia urahisi Wa kufikisha ujumbe....
 
kwani ukimtongoza kwenye simu akikataa au akikubali inakuwa kiuongo uongo au ?

Toka usituharibie siku yetu hapa
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
Chanzo ni ccm.
 
Woman begins by resisting a man's advances and ends by blocking his retreat
 
Tafiti zako za zamani mno mno saivi wanaume hatutongozi.
Pesa ndio inatongoza...
 
Ujasiri wa kupiga live band anao Gadna...
But why ushindwe kufunguka? Me nadhani inategemeana na age... Kuna dem mmoja nilimtokeaga bana, ile kuongea maneno mawili, dem alifungukaaa, alinipiga madongo ile mbaya. Eti kwanza we used utanipa nini mimi, yani sioni jipya kwako.... Duh, nilijuta kumpiga vesi kidume enzi hizo maisha ya bumu...
 
Ujasiri wa kupiga live band anao Gadna...
But why ushindwe kufunguka? Me nadhani inategemeana na age... Kuna dem mmoja nilimtokeaga bana, ile kuongea maneno mawili, dem alifungukaaa, alinipiga madongo ile mbaya. Eti kwanza we used utanipa nini mimi, yani sioni jipya kwako.... Duh, nilijuta kumpiga vesi kidume enzi hizo maisha ya bumu...

Mbaba uliingia na gia isiyofaa
 
Ulitumia njia gani utafiti wako,au na wewe ni muhanga?
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
Wewe porojo bila sabuni ya roho ni kazi bure,utajihisi unamkosi,huu mchezo rahisi sana kama mapesa yapo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Tatizo waafrika tunafanya kutongozana kama shughuli nzitoo wenzetu mkishatoka date mbili au tatu mambo kirahis tuuu
Mtu asha kusoma, na kama anaona hamuez kwenda mbali ana kwambia mwenyewe,
aah uku kwetu mpaka udanganyee uwe na ilani kama ya ccm kwenye uchaguz
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..

First Time Me Natongoza Msichana kwa Mara ya kwanza, Nilikwenda Moja kwa Moja akiwa na wenzake kama 6 hivi, nikamshika mkono nikamtoa pembeni, Nikamsifia alivyo Mrembo na nikaomba tuwe wote siku nzima, Mpaka kesho ananithamini na ananiheshimu, Kwa sababu Mwanaume kujiamini sana pia humfanya Mwanamke akusikilize na huwavutia wanawake wengi.
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
Hujakutana na mafundi blaza... na pia mazingira yanasababisha hilo unalohisi.. suppose umekutana na demu kwa gari dar-mwanza hope hautatumia msg ila ni live.. lakini kama umeingiamo badoo ukaanza chat autonaturally utarusha mistari humohumo.
 
Back
Top Bottom