Wanaume wengi walipotea Kiakili na Kuchanganyikiwa Kitaaluma hasa katika Awamu yako 2005-2015

Wanaume wengi walipotea Kiakili na Kuchanganyikiwa Kitaaluma hasa katika Awamu yako 2005-2015

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"ASILIMIA 53 ya wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) leo ni wanawake. Sijui wanaume wamekwenda wapi? Rais Mstaafu Dk Jakaya Kikwete na Mkuu wa Chuo amehoji wakati wa Duru ya tano ya Mahafali ya 52 na kuongeza “itabidi tufanye utafiti.”

Chanzo: HabariLeo

Acha kutupotezea muda wenye Akili.
 
Akili hazitangazwi kwa nguvu, zinajionyesha tu zenyewe!
 
Wanaona wanapoteza muda ambao wangetumia kufanya mambo ya maana kuliko hayo.
 
Akili hazitangazwi kwa nguvu, huwa zinajionyesha tu zenyewe!
 
Popoma ana degree ya SAUT na mpaka leo ni jobless, Sasa unadhani watu watashawishika vipi kupoteza muda vyuoni for nothing?
 
Popoma ana degree ya SAUT na mpaka leo ni jobless, Sasa unadhani watu watashawishika vipi kupoteza muda vyuoni for nothing?
Hawara yangu baada ya 'Kukunukudi' na 'Kumbandua' Binti yako ndiyo Umeamua kuja kutoa hapa JamiiForums Hasira zako dhidi yangu?

Ila una 'Nukudi' tamu sana Hongera.
 
Back
Top Bottom