Wanaume wengi wanaojiona wako kwenye mahusiano, kiuhalisia wako single ila hawajijui kuwa wako single

Wanaume wengi wanaojiona wako kwenye mahusiano, kiuhalisia wako single ila hawajijui kuwa wako single

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Ukichunguza vizuri mahusiano mengi sahivi,

Mdada akiwa na birthday atategemea kupokea outing, lunch, and gifts toka kwa boyfriend wake, ila boyfriend akiwa na birthday mdada hatompa boyfriend kitu chochote.

Mkiwa mnatembea mtaani, mdada akiona kitu kizuri kitachomfaa, k.v kiatu, nguo atategemea anunuliwe na boyfriend wake, ila akiona kitu kizuri kitakachomfaa boyfriend wake, hatotoa hela yake mfukoni amnunulie, hata ikitokea siku amemnunulia, 8/10 hiyo zawadi haijatoka moyoni, keshapiga hesabu kiasi cha hela ambayo boyfriend amewahi mpa tangu wameanza mahusiano, sehemu ya iyo hela ndo anamnunulia nayo zawadi, au anamnunulia boyfriend wake zawadi akitegemea kuwa baada ya mda flani atampiga kizinga cha kiasi kadhaa, ili hela yake aliotumia kukununulia zawadi irudi.

Relationships are supposed to be mutual, not one way. Mwanaume akiweka 80% effort mdada aweke 60% ila mahusiano mengi mwanaume anaweka 95% effort, mdada anaweka 5%

Wanaume wengi waliopo kwenye mahusiano wanateseka na kunyonywa in name of love/pussy ili tu wasionekane wapo single.

Wanaume wanao-enjoy a mutually beneficial & fulfilling relationship ni wachache. Hao ni wanaume waliobahatika kupata wanawake wa maana.
 
Wakati wanawake wanapigania usawa hawakuwaza kwamba haki sawa itakuja na wajibu sana, ndio maana tumefika hapa, wanawake wanataka nafasi ya mwanaume, privilege ya mwanamke lakini hawataki kubeba wajibu wa mwanaume wala wa mwanamke. Matokeo yake wameanza kuonekana liability kwenye mahusiano, wameanza kuonekana ni chombo cha starehe tu cha kukitumia na kukiacha ukimaliza haja zako.
 
Habarini,

Ukichunguza vizuri mahusiano mengi sahivi,

Mdada akiwa na birthday atategemea kupokea outing, lunch, and gifts toka kwa boyfriend wake, ila boyfriend akiwa na birthday mdada hatompa boyfriend kitu chochote.

Mkiwa mnatembea mtaani, mdada akiona kitu kizuri kitachomfaa, k.v kiatu, nguo atategemea anunuliwe na boyfriend wake, ila akiona kitu kizuri kitakachomfaa boyfriend wake, hatotoa hela yake mfukoni amnunulie, hata ikitokea siku amemnunulia, 8/10 hiyo zawadi haijatoka moyoni, keshapiga hesabu kiasi cha hela ambayo boyfriend amewahi mpa tangu wameanza mahusiano, sehemu ya iyo hela ndo anamnunulia nayo zawadi, au anamnunulia boyfriend wake zawadi akitegemea kuwa baada ya mda flani atampiga kizinga cha kiasi kadhaa, ili hela yake aliotumia kukununulia zawadi irudi.

Relationships are supposed to be mutual, not one way. Mwanaume akiweka 80% effort mdada aweke 60% ila mahusiano mengi mwanaume anaweka 95% effort, mdada anaweka 5%

Wanaume wengi waliopo kwenye mahusiano wanateseka na kunyonywa in name of love/pussy ili tu wasionekane wapo single.

Wanaume wanao-enjoy a mutually beneficial & fulfilling relationship ni wachache. Hao ni wanaume waliobahatika kupata wanawake wa maana.
Ni kweli
 
Ukitaka kuinjoi mpenzi na kununuliwa zawadi na demu wako jitaidi kutongoza binti mara Moja tu usirudie Tena akisema akutaki achana nae sio unamfuata usiku na mchana.
 
In short ni kwamba wanaume wengi wapo kwenye biashara ya mahusiano bila wao kujua wanaamini kwenye kumfurahisha mwanamke ili wa maintain wauhusiano kumbe ndio anajiingiza kwenye chumba cha kunyonywa.Nipo kwenye mahusiano sasa hivi natimiza Miaka 3 na huyu manzi aliwahi kuniambia aliyewahi kuwa ex wake hakuwahi kumpenda ambaye alipangishiwa na kulipiwa Kodi, huyu manzi aliwahi kuwa na shida ya kidonda kwenye tumbo akagharamiwa na Huyo ex akapona na akapelewa Hadi Dubai pamoja na yote hayo but the end demu akamtema jamaa nikiwa nimeanza kudate Nae Mimi sijafanyia vitu vikubwa kama Huyo ex wake but ananielewa ile mbaya akiniomba hela ni mpaka awe na shida,nikimuhitaji anakuja na wakati mwingine yeye ndio ananihitaji,nikikwama huwa ananisaidia,ni mtiifu sana nikisema sipendi hiki huwa anafanyia kazi.

NB: shida ya vijana wengi wanafosi mapenzi na ndio maana wanyonywa, wanawake wanapenda wanaume wenye misimamo thabiti, wenye kuongozwa na akili sio hisia na ambao wapo vizuri kwenye bed ukiwa na hivi vitu kwa 80℅ utawacontrol wanawake utakavotaka wewe
Balqior
Natafuta Ajira
 
Back
Top Bottom