Wanaume wengi wanaotafuta wachumba humu ni balaa...!!

Wanaume wengi wanaotafuta wachumba humu ni balaa...!!

Wendie

Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
33
Reaction score
10
Hello JF members..!

Nimetumia ID tofauti makusudi ili kutoa tahadhari kwa wadada wenzangu wanao respond kwenye posts za baadhi ya wanaume wanaotafuta wenzi humu Love connect!

Nimerespond kwa post kama 4 tofauti tofauti za wanaume wanaotangaza wanatafuta wachumba humu, yaani ni waongo na lengo lao kubwa wanataka tuu sex..! Hawako serious kabisa na kwa hii tabia wanaharibu maana ya hili jukwaa kwani kuna baadhi yetu tuko serious..!


  • Kitu kinachoshtua ni kwamba ukirespond tuu kwa PM hapo hapo anaanza kukuita My love, honey, darling wakati hata hajakuona na hajui kama akisha kuona mtamatch..!


  • Ikitokea umeonana nae, anakuwa hana la kuzungumza la maana zaidi ya lini sasa tutafanya sex??

Ndio uchumba unaanza hivyo kweli?? Wanaume wenye tabia hii jirekebisheni..!
 
Khaaa..! Uhusiano serious kupitia JF shosti..!?? # Sidhaaaani...
 
Khaaa..! Uhusiano serious kupitia JF shosti..!?? # Sidhaaaani...

Unajua kuna watu wanatoa matangazo yanaonyesha wanahitaji wenza ... Sasa huko kwenye PM ndiko balaa linakoanzia, na asipoleta balaa huko mkionana tuu ni sex ndio inatawala. Nimekoma mwaya!
 
hahahha...umemegwa nini? funguka. ila hapa naona watu wanataka kumegana tuu toa utamu huo wacha kubania lol

Kumegwa sijamegwa..! Ila nimeshtushwa na tabia zinazofanana kwa wanaume wote wanne za kuonyesha seriousness kwenye post zao lakini hawamaanishi hivyoo..! Bora tu waandike NATAFUTA DADA WA KU SEX NAE ijulikane moja!
 
.....................Pole sana ... kuwa makini katika dunia hiii ......Jihadhari na matapeli wa mapenzi......... pengine wewe umeshtuka na kujitambua lakini wako wanopenda hali hiyo wanakubali kirahisi........... hao ndio wanaowaangusha wenzao...... pia u Serious unaouzungumzia sio kwa maswala ya uchumba tu... bali hata katika maswala ya biashara wengi wanakuja katika mjadala ili mradi waweke post lakini hawako serious
 
Duuh hii ni hatari, yani ndio nilikua namalizia kuandika uzi wangu wa kutafuta mume hapa jukwaani, inabidi nisitishe , nijipange kivingine.
 
.....................Pole sana ... kuwa makini katika dunia hiii ......Jihadhari na matapeli wa mapenzi......... pengine wewe umeshtuka na kujitambua lakini wako wanopenda hali hiyo wanakubali kirahisi........... hao ndio wanaowaangusha wenzao...... pia u Serious unaouzungumzia sio kwa maswala ya uchumba tu... bali hata katika maswala ya biashara wengi wanakuja katika mjadala ili mradi waweke post lakini hawako serious
 
Duuh hii ni hatari, yani ndio nilikua namalizia kuandika uzi wangu wa kutafuta mume hapa jukwaani, inabidi nisitishe , nijipange kivingine.

Kweli jipange kivingine bi dada..!
 
.....................Pole sana ... kuwa makini katika dunia hiii ......Jihadhari na matapeli wa mapenzi......... pengine wewe umeshtuka na kujitambua lakini wako wanopenda hali hiyo wanakubali kirahisi........... hao ndio wanaowaangusha wenzao...... pia u Serious unaouzungumzia sio kwa maswala ya uchumba tu... bali hata katika maswala ya biashara wengi wanakuja katika mjadala ili mradi waweke post lakini hawako serious

Nashukuru sana kwa ushauri mzuri.!
 
.....................Pole sana ... kuwa makini katika dunia hiii ......Jihadhari na matapeli wa mapenzi......... pengine wewe umeshtuka na kujitambua lakini wako wanopenda hali hiyo wanakubali kirahisi........... hao ndio wanaowaangusha wenzao...... pia u Serious unaouzungumzia sio kwa maswala ya uchumba tu... bali hata katika maswala ya biashara wengi wanakuja katika mjadala ili mradi waweke post lakini hawako serious

...Kaka sikuzote nafatilia contributions zako., nakukubakia sana, unatisha Mkuu..!!! Saluuuuuute"""
 
never trust a man, hasa mitandaoni ni kumegana tu, hakuna la ziada.

Japo, moyo una usaliti intuitions zina uhakika.
 
si wote , labda wewe ukikutana ndio huwa unawakalia kimtego mtego,

a man will treat you the same way you will define yourself.

Sijasema wanaume wote, nimesema baadhi ya wanaume ndugu yangu, naomba nieleweke tena.....

Sasa huko kwenye PM nitawakaliaje kimtego mtego jamani hao wanaume??
 
never trust a man, hasa mitandaoni ni kumegana tu, hakuna la ziada.

Japo, moyo una usaliti intuitions zina uhakika.

Asante my dada Kongosho kwa ushauri.. Nimekoma kabisa na hizi biashara za namna hii mitandaoni!
 
Back
Top Bottom