joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wale wa TZ 11 silaha yetu stori nyingi za uongo na kweli,ili husimchoshe mwenzio wakati mnatembea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu binadamu tunabadilikabadilika sana. Ukapata gari mfukoni pesa kidogo u HB unapotea
Lift napanda kwako tuu...
Halafu nawe kitambi chaanza kuota
Lift napanda kwako tuu...
Halafu nawe kitambi chaanza kuota
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nisamehe mimi jamani kaka
KabisaUmenena kweli umaskini ni kitu kibaya sana, Elimu na kujitegemea kwa watoto wa kike ni jambo la muhimu sana hizi aibu zitaisha
Waaachaaa
Najua hilo jamanii dear
Mkuu binadamu tunabadilikabadilika sana. Ukapata gari mfukoni pesa kidogo u HB unapotea
Wanaiona blackberryUmaskini ni mbaya sana. Binti Nampa gari mapema sana, bora apewe mimba kwa kupenda mwenyewe si kwa sababu ya kuchanganywa na gari au simu. Hivi wale waliopewa mimba kwa kuhongwa blackberry wanajisikiaje wakimtazama mtoto?
Jikubali kwanzaNdugu wajumbe, samahani kwa kuchelewa kuambatanisha picha..teh[emoji23]View attachment 1303080
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Wanaiona blackberry
Hahhahahaha uwiiiHiyo paragraph ya mwisho siyo umpime ngoma tu,pia uwe unalipa mafuta na itapendeza kama ukiongeza na wewe hela kidogo kwenye manunuzi ya hiyo gari.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ndo maana staki kudate mwenye gari,akishampa mwanamke lift kuna asilimia 90 ya kumnyapua ndani ya gari maana wakiwa mle kwenye gari si kwa vishawishi vile hasa vitoto vya shuleMimi nachoshukuru ni kuwa tangu niwe na gari gharama za gesti zimepungua maradufu.
If you know you know [emoji6]