Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

I wish ungenionaa im sure 100% kwenye generation yenu hamjawah kuwa na ndugu [emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]ngoja ninyamaze usije sema najisifiaa
Mkuu nimesema hivyo kwa sababu nakujua nje ya JF!
 
Jidanganye mbona mimi nina 40 lakini sina habari na mapenzi ya dhati mm nikikutafuna ndiyo habari imeishia hapo ww jidanganye
We hujanielewaaa[emoji23][emoji23][emoji23]nazungumziaa match kwani nani anataka mtu wa kugandana naye???una elaa mpka ugandwe?
 
Nasemaje ndio kashakuto.Mba ivyo
 
yule mumeo aliekua anaombwa kufumua mtaro bado uko nae?
 
Sa nikikuambiaaa si ndo utanitafutiaa mmasai,sijui vumbi la kongo na mazaga kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kisa kunikomoaa
Umeanza visa, stage hiyo sijafika au uje na mbinu za kivita basi ukikuta kuna walakin weka chupi begani pita iv..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…