Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
We utakuwa kiben10 msikilize mambembe alichowashauriAisee, sasa mbona wake za hao wazee ndo wanaongoza kulelea viben 10, vina kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utakuwa kiben10 msikilize mambembe alichowashauriAisee, sasa mbona wake za hao wazee ndo wanaongoza kulelea viben 10, vina kazi gani?
Hahhahaha sio utashindwa kutoa show ya kibabe
Nipo upande wako wa kushinda usiniangushe sasauko upande wangu wakushinda au upande wakushindwa?😀😀
Ila nimekumiss shemeji hakukupa ujumbe wangu[emoji849][emoji849]manake nilikutaa anazurura huko vijiweni usiku[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nimekumiss shemeji hakukupa ujumbe wangu[emoji849][emoji849]manake nilikutaa anazurura huko vijiweni usiku[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23]We utakuwa kiben10 msikilize mambembe alichowashauri
He he[emoji23] [emoji23]
Kiben 10 tena, hivi wenye hiyo sifa wanatakiwa wawe na umri gani?
Aisee, sio kwamba anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, sababu kuna sms nimezikuta kwa mchepuko akimsifia barobaro mmoja kwamba anajua kumkuna vilivyo huku akiniponda mimi, sijui ni wapi nakosea kwenda na kasi ya mashaibu wenzangu.He he
Mmeambiwa 35 kwenda juu
We utakuwa mzembe na bonge la kitambi kama meza ya kamariAisee, sio kwamba anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, sababu kuna sms nimezikuta kwa mchepuko akimsifia barobaro mmoja kwamba anajua kumkuna vilivyo huku akiniponda mimi, sijui ni wapi nakosea kwenda na kasi ya mashaibu wenzangu.
HahahaAisee, sio kwamba anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, sababu kuna sms nimezikuta kwa mchepuko akimsifia barobaro mmoja kwamba anajua kumkuna vilivyo huku akiniponda mimi, sijui ni wapi nakosea kwenda na kasi ya mashaibu wenzangu.
Shemeji kinyama cha hamu mi staki uhasama shoooo manake ntatamani kuonjaa [emoji23][emoji23]mwambiee aache mizururo
Hahaha sio mtoto huyo avatar tu hiyo si eti Certified HaterAaaah shuniee sina muda wa kuuza match mimi na watoto mambo ya koakwa makamasi mi staki[emoji23][emoji23]