Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

Ila nimekumiss shemeji hakukupa ujumbe wangu[emoji849][emoji849]manake nilikutaa anazurura huko vijiweni usiku[emoji23][emoji23][emoji23]


Hahahahaha.... hakunipa shoo sema mi sio mzururaji so huwa namruhusu akabadili radha kiroho safi kabisa mwanaume kukaa kaa hom tutakaushana vizazi tu Smart911
 
Haa😃😁🤣😂
Majizi Awamu Hii Ya Tano
Na Kwenye Thread Hii Hayana Nafasi
 
Shemeji kinyama cha hamu mi staki uhasama shoooo manake ntatamani kuonjaa [emoji23][emoji23]mwambiee aache mizururo
Hahahahaha.... hakunipa shoo sema mi sio mzururaji so huwa namruhusu akabadili radha kiroho safi kabisa mwanaume kukaa kaa hom tutakaushana vizazi tu Smart911
 
Aisee, sio kwamba anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, sababu kuna sms nimezikuta kwa mchepuko akimsifia barobaro mmoja kwamba anajua kumkuna vilivyo huku akiniponda mimi, sijui ni wapi nakosea kwenda na kasi ya mashaibu wenzangu.
We utakuwa mzembe na bonge la kitambi kama meza ya kamari
 
Aisee, sio kwamba anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, sababu kuna sms nimezikuta kwa mchepuko akimsifia barobaro mmoja kwamba anajua kumkuna vilivyo huku akiniponda mimi, sijui ni wapi nakosea kwenda na kasi ya mashaibu wenzangu.
Hahaha
Ebu muulize mchepuko wapi unakosea uongeze ufundi
 
Shemeji kinyama cha hamu mi staki uhasama shoooo manake ntatamani kuonjaa [emoji23][emoji23]mwambiee aache mizururo

Mi nawewe hatudhuriani shoo onja ufurahie maisha hakii hutojuta tena ndo vizuri umpe mambo hot hot msambazie Smart911 yotee akija anipe tuit
 
Aaaaaaaaaaaaaa subutu......mi staki mambo ya kurukishwa kichura churaaa mama malizana naye mwenyewe vya kuonja onjaaa vibayaa
Mi nawewe hatudhuriani shoo onja ufurahie maisha hakii hutojuta tena ndo vizuri umpe mambo hot hot msambazie Smart911 yotee akija anipe tuit
 
Back
Top Bottom