Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Siku nikitaka kuoa, barua nitoe mimi, mahari nilipe mimi! Gharama za harusi niingie mimi! Tukifika home, nyumba au chumba nipange au nijenge mimi! Gharama kuu za familia nigharamike mimi lakini pamoja na yote hayo bado tu sura nzuri nayo niwe nayo mimi!!! Eti dada Shunie, unadhani itakuwa haki hiyo?!
Hahahah usinifanyie hivyo
 
ngoja nikae kimya maana muda huu unaweza kuta bundi analia juu ya bati kumbe ni mzee baba Junior
 
Kwanza sifa walizobarikiwa:

Wengi wana akili na wasomi
Wana mapenzi ya dhati
Ndo wanaongoza kwa UTAJIRI
Wana penda kwa dhati sijui kwa sababu sura zinatisha hawajiamini.
Wanajua kuhongaa.
Siyo wabahili.
Ukipata mchumba wa hivi atataka kujulikana kwa kila mtu na sura lake libaya atataka uongozane naye kila sehemu uwiiiii.
Hawaringi hata kidogo.
Wanajituma sana kuanzia kazini mpaka kitandani.
Wanajua kupetpet mwanamke asikwambie mtu.

Nyongeza :
Ukute umeolewa na mwanaume mwenye sura mbaya alafu mfupi ana ndevu unaweza kuzani kibwengo inabidi ukienda kumtambulisha uanze na neno "SHEMEJI YENU HUYU KASOMA ANA PESAA MUONE HIVI HIVI TU YUKO VIZURI SANA"

Wanaume wa Jf wenye sura mbaya leo tupo pamoja eeeh

Demiss mke wake Mshana.
Hata wanawake wenye kufanana sura na wazazi wao wa kiume wanasifa kama ulizotaja.
 
we unaambiwa I like 'unapokuja' unazidi kua mbaya!, hapo kwa english
sio nyie mnatupanga hadi kwa list na mijisura yetu!.
Hahahahah jaman wick mbn unanitoa kwenye reli
 
Sio haki kaka angu wewe una sura ya kiume
Siku nikitaka kuoa, barua nitoe mimi, mahari nilipe mimi! Gharama za harusi niingie mimi! Tukifika home, nyumba au chumba nipange au nijenge mimi! Gharama kuu za familia nigharamike mimi lakini pamoja na yote hayo bado tu sura nzuri nayo niwe nayo mimi!!! Eti dada Shunie, unadhani itakuwa haki hiyo?!
 
Back
Top Bottom