Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

hahahh!!.. chige unaona umeamsha the tycoon!.. Hahahh huyo bundi hujui tu mwenyewe nahangaika nae!.
Teh teh teh teh,
Cheki lifisi linavyojitetea hapa...
Bwahahahahahaha, mwenye nyota ya bundi ni mimi, eti hawanitaki kisa nina mvi na nimechakaa.
Is this fair mkuu ???? Yaaani wananioneaga sana tu
 
Teh teh teh teh,
Cheki lifisi linavyojitetea hapa...
Bwahahahahahaha, mwenye nyota ya bundi ni mimi, eti hawanitaki kisa nina mvi na nimechakaa.
Is this fair mkuu ???? Yaaani wananioneaga sana tu
hawa wanataka tukashinde MMU akati Intelijensia ndio tuna madini mengi!.. Hii wiki tushinde MMU hakuna namna!.😀
Ila tumeitwa wabaya inabidi ukubaliane nao tu!
 
Back
Top Bottom