Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Sijawahi.
Zinakuwaga za gauge hizi hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi.
0
Madam S, wewe wa dunia hii kweli! Mwanamke gani unatema madini kama umeshushwa hivi! Umenifanya nikomenti leo. Keep it on busara zako ni somo kwetu
Point nzuri sana hii Chifu.Kumbuka, ili uweze kumudu hayo yote lazima ukose muda wa kuwa naye. Huo muda unadhani anakua wapi????
Mwanamke anahitaji muda wako wewe mkuu. Akikupenda hata kwa chumvi atanenepa. Kikubwa muda wako tu
duh dadangu ndo umegeukia huku tena😎😳Ingekuwa hivyo msingekuja kulia lia hapa JF kugongewa wake zenu na madereva wa bodaboda nakati mmewatimizia kila kitu Wake zenu kifedha.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio wanawake wote malimbukeni wa hela. Na pia sisi wanawake tunabadilikaga kulingana na mazingira.
Mfano una mwanamme ana kipato kidogo, ana akili za maendeleo, anakupenda, kukujali na kukuheshimu, anakushirikisha katika budget ya nyumba yenu etc why uruhusu hela iwe ni kikwazo katika maisha yenu.
Sasa umkute mume mwenyewe ni Konki liquidi, deile anapiga maji na kurudi home kalewa hana mia mfukoni, asubuhi ni wale wa fanya mpango mke wangu. Hajali familia, uhuni humo humo. Panaanza kukalikaje kwa mfano? Na kichapo utachezea.
@behaviourist hana pesa hivyo amekoment kulingana na hali yake.
Hapo anajitetea@behaviourist hana pesa hivyo amekoment kulingana na hali yake.
Mnssemaga tu hivyoFuraha inadumu katika hali duni kama ukipata mwanamke anayekupenda kwa dhati mixer ana hofu ya Mungu
Asante rafiki, ni wa dunia hii hii mkuu, shukran sana tuko pamoja
aaamyn tubarikiwe soteSawa tupo pamoja, ubarikiwe sana
aaamyn tubarikiwe sote
NaamSio wanawake wote malimbukeni wa hela. Na pia sisi wanawake tunabadilikaga kulingana na mazingira.
Mfano una mwanamme ana kipato kidogo, ana akili za maendeleo, anakupenda, kukujali na kukuheshimu, anakushirikisha katika budget ya nyumba yenu etc why uruhusu hela iwe ni kikwazo katika maisha yenu.
Sasa umkute mume mwenyewe ni Konki liquidi, deile anapiga maji na kurudi home kalewa hana mia mfukoni, asubuhi ni wale wa fanya mpango mke wangu. Hajali familia, uhuni humo humo. Panaanza kukalikaje kwa mfano? Na kichapo utachezea.
😂🤣🤣🤣Tunafanya miradi ili kusaidia waume zetu. Miradi yetu haihitaji mitaji mikubwa. Uji wa ulezi au wa mchele, makande au chapati. Tena tunaishi kwa amani.
Tuliokuwa na vibamia sasa inakuwaje