Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Kwani wanavyosemaga vidumu muhimu huelewi?
Vidumu vinasaidia baadhi ya hayo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Vidumu vinasaidia baadhi ya hayo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchacharikaji ndiyo mpangoSawa sawa.
hapa nawapa hongera wanawake wachakarikaji...nawapenda saana...huwa wananikumbusha jambo.
Sawa sawa.
Unakuwa na mwanamme anamipango mizuri ya kimaendeleo halafu mipango haifanikiwi.[binadamu wengi wapo hapa duniani]
Mipango mizuri ila wapi...vumilia mke wangu ipo siku tutafanikiwa. Siku gani wewe mwanamme kila siku maneno yale yale..ona jirani yetu ndoa yao haina hata miaka kumi..mke anaendesha mme anaendesha. Nimechoka kwa kweli nimechoka.
You got a brain gal. Hope sio nyuma ya keyboard tu
Furaha inadumu katika hali duni kama ukipata mwanamke anayekupenda kwa dhati mixer ana hofu ya Mungu
Sawa sawa....muwe mnaweka marital status kwenye comments zenu ili twende sawa sasa.
What a wise word from a wife material hapa.Tunafanya miradi ili kusaidia waume zetu. Miradi yetu haihitaji mitaji mikubwa. Uji wa ulezi au wa mchele, makande au chapati. Tena tunaishi kwa amani.
Huu uzi hautuhusu sisi tulooa na tunaokaa vijijini
Sawa sawa.
Unakuwa na mwanamme anamipango mizuri ya kimaendeleo halafu mipango haifanikiwi.[binadamu wengi wapo hapa duniani]
Mipango mizuri ila wapi...vumilia mke wangu ipo siku tutafanikiwa. Siku gani wewe mwanamme kila siku maneno yale yale..ona jirani yetu ndoa yao haina hata miaka kumi..mke anaendesha mme anaendesha. Nimechoka kwa kweli nimechoka.
Mungu atuepushie madhila haya, ni dhambi sana kuzini ukiwa na ndoa yak halaf mtu kama humtaki unaachana naye tu kwa amani kabla hamjafika mbalina kama si kuhama nazani ningeingia mtegoni,,mke alishaanza ishara za kutaka nimfukunyue
NIMEAMINI KWELI UMEKUJA KIVINGINE KABISA HUU MWAKA 2019.Sio wanawake wote malimbukeni wa hela. Na pia sisi wanawake tunabadilikaga kulingana na mazingira.
Mfano una mwanamme ana kipato kidogo, ana akili za maendeleo, anakupenda, kukujali na kukuheshimu, anakushirikisha katika budget ya nyumba yenu etc why uruhusu hela iwe ni kikwazo katika maisha yenu.
Sasa umkute mume mwenyewe ni Konki liquidi, deile anapiga maji na kurudi home kalewa hana mia mfukoni, asubuhi ni wale wa fanya mpango mke wangu. Hajali familia, uhuni humo humo. Panaanza kukalikaje kwa mfano? Na kichapo utachezea.
NIMEAMINI KWELI UMEKUJA KIVINGINE KABISA HUU MWAKA 2019.
BIG UP SANA MKUU KUCHANGIA WAZO BORA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat kama Kweli hii memory iko active katika ubongo wako basi wewe ni Mke Mwema/Wife Material.Tunafanya miradi ili kusaidia waume zetu. Miradi yetu haihitaji mitaji mikubwa. Uji wa ulezi au wa mchele, makande au chapati. Tena tunaishi kwa amani.
Shukrani,Hahahaha heri ya mwaka mpya, haya sawa nimeolewa.
Shukrani,Hahahaha heri ya mwaka mpya, haya sawa nimeolewa.