Pesa sabuni ya roho.
Ila mazee acheni utani bhana..hawa watoto wanapenda pesa. (Sawa na sisi tunazipenda)
Ukiwa huna chako hata kuoa unanyanyapaliwa. Uzuri kuna kila "price" la sivyo yangekuwa mengine.
Mwanamke matunzo,
Mwanamke kupewa apemdacho,
Mwamke shopping,
Mwanamke urembo,
Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion,
Mwanamke madikodiko,
Mwanamke mtoko,
Mwanamke .........
Ukiyamudu hayo wallah you will be the happiest man in da gloobe!
Wambie watoto wa mama furaha yetu so pesa.Mwanamke matunzo,
Mwanamke kupewa apemdacho,
Mwamke shopping,
Mwanamke urembo,
Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion,
Mwanamke madikodiko,
Mwanamke mtoko,
Mwanamke .........
Ukiyamudu hayo wallah you will be the happiest man in da gloobe!
Tunapata sana taabuMwanamke matunzo,
Mwanamke kupewa apemdacho,
Mwamke shopping,
Mwanamke urembo,
Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion,
Mwanamke madikodiko,
Mwanamke mtoko,
Mwanamke .........
Ukiyamudu hayo wallah you will be the happiest man in da gloobe!
Huko ni kujipa moyo tu mkuuPesa ni muhimu ila haiwezi kununua furaha,Ndiyo maana unakuta tajiri mkubwa mkewe anachepuka na gadena
Kumbuka, ili uweze kumudu hayo yote lazima ukose muda wa kuwa naye. Huo muda unadhani anakua wapi????Mwanamke matunzo,
Mwanamke kupewa apemdacho,
Mwamke shopping,
Mwanamke urembo,
Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion,
Mwanamke madikodiko,
Mwanamke mtoko,
Mwanamke .........
Ukiyamudu hayo wallah you will be the happiest man in da gloobe!
Waambie mwanamke churaaaBinadamu hataishi kwa kipato kikubwa tu bali kwa kila jema afanyalo!
Kila mtu anayaogopa majogoo....Tunapata sana taabu
Kusema kweli sisi tusio na PESA ndoa zetu ngumu sana jamani
Mm nadandia daladala na mke anadandia daladala
Tunarudi jioni kutoka ktk kutafuta wote tumechoka sana,hapo tendo la ndoa hadi weekends!
Daah inauma sana
Kaka umetukimbia kule sababu tunalichukua?Kila mtu anayaogopa majogoo....
Mko vizuri. Nitakuja.Kaka umetukimbia kule sababu tunalichukua?
Njoo kule kaka,nyumbani kumenoga
Kumbe wakati mwingine unakuwa na akili kubwaSio wanawake wote malimbukeni wa hela. Na pia sisi wanawake tunabadilikaga kulingana na mazingira.
Mfano una mwanamme ana kipato kidogo, ana akili za maendeleo, anakupenda, kukujali na kukuheshimu, anakushirikisha katika budget ya nyumba yenu etc why uruhusu hela iwe ni kikwazo katika maisha yenu.
Sasa umkute mume mwenyewe ni Konki liquidi, deile anapiga maji na kurudi home kalewa hana mia mfukoni, asubuhi ni wale wa fanya mpango mke wangu. Hajali familia, uhuni humo humo. Panaanza kukalikaje kwa mfano? Na kichapo utachezea.
Kwa nyama za ulimi.Mwanamke matunzo,
Mwanamke kupewa apemdacho,
Mwamke shopping,
Mwanamke urembo,
Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion,
Mwanamke madikodiko,
Mwanamke mtoko,
Mwanamke .........
Ukiyamudu hayo wallah you will be the happiest man in da gloobe!
Mwanamke mhogo wa jang'ombe.Mwanamke matunzo,
Mwanamke kupewa apemdacho,
Mwamke shopping,
Mwanamke urembo,
Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion,
Mwanamke madikodiko,
Mwanamke mtoko,
Mwanamke .........
Ukiyamudu hayo wallah you will be the happiest man in da gloobe!
kwa uelewa wangu
Mume ni kama mtoto, akishaoa yeye ndio hua juu ya mke na s mke kuamua anavyotaka, mume ni mapenzi na jinsi ya kuishi naye tu halaf wanawake tutambue na uwezo wa wanaume zetu, mume akakope akuridhishe ww mwisho wa siku aumize kichwa kukutaftia kula kukuvisha na mahitaji mengine unampa mzigo ambao mlipaswa muubebe pamoja
Kabla mume wangu hajanioa ninaelewa kipato chake na kaz anayofanya hata kama atakua anaingiza millioni ipo siku pesa hazitakua zinakuja kwa mtiririko huo lazima kuna kupata na kukosa kama mkewe lazima nimfariji wakat wote na s kumpa presha ka hizo
Hiyo ndoa ni ngumu na maisha yake ni mafupu kama njiti ya kiberiti kama mkewe atakua hivo au hajapelekwa kwa somo akafundishwa??
Na uraiani pia