HakikaAisee
Sonona haitokaa iishe.
Wivu wa mapenzi ni ujima
We bibi kwanini unatukana wanaume ?Mnapakuwa mapicha mtandaoni mnawasingizia sido.
Kwa hali hii tutegemee naendeleo kutoka kwenu?
. Ujinga kama huu zamani walikuwa nao wanaojiitq Mshana Jr. na Mzizi mkavu.
Baada ya kuwashikia bango na kuizowea mitandao, wakajirekebisha.
Naona wajinga wenzao, wapya, wameanza tena ule ujinga wa hao kaka zao.
Kwani ukiandika ukweli na ukaweka source itakuwa nini?
Punguwani wahed.