[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli kuna mwanaume anabadilisha boxer mara 3 kwa siku mkuu?Inategemea uko mkoa gani.
Km uko mkoa wa joto km dar, tanga basi siku 2/3
Km uko mkoa wa baridi km mbeya,iringa wiki siku 7/14 kabsa
Mkuu nilikuwa napiga mahesabu, almost kama siku 3 hadi 4πππππ[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Daaaah..... inaonyesha wewe una boxer special kwa ajili ya matukio.ππππNibadilishe boksa kwani kuna demu mkali anakuja ghetto?!
You are 101% right. Hiyo ni technique yangu ya mda mrefu sana, nikadhani ni mimi tuπππππKila ukioga unainusa ukiona iko fresh unaivaa tena asee uwanaume raha sanaaa
AiseeeeKuna wengine hawabadilishi, mpaka akiivua na kuisimamisha, ina simama DEDE bila hata sapoti.[emoji53]