rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Sana mkuu...sometimes ananifuliaa! yani mpaka najishtukiaa...Shemela anakujari mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mkuu...sometimes ananifuliaa! yani mpaka najishtukiaa...Shemela anakujari mkuu
Siku tatu chache hivyoo...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aliekuambia wanaume wengine wanabadilisha baada ya siku 3 ni nani?au umetabiri?!
Inategemea ukk wapi kama upo dar yeny joto inavaa mara 1au 2 tu hurudii tena ila kama ni sehem ya barid kama nyanda za juu kusini mf mbeya, iringa au hata Arusha au kirimanjaro unavaa hata ck 7Wanaume wenzangu hivi huwa mnabadilisha boxer zenu mara ngapi kwa wiki? Au mpaka itoe kile kiharufu cha ubeberu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
..
Cc Zero IQ
Ndiyooo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli kuna mwanaume anabadilisha boxer mara 3 kwa siku mkuu?
Hakika unasema kweli mkuuuSiku nikikumbuka kufua boxer huwa najisemea kumbe rahisi hivi,ntakua nafanya hv kilasiku wakati wakuoga afu inakuja kujirudia baada ya wiki pale nimehisi kijiharufu wakati naitundika ilinipige maji.
Sivai chupi mkuuWamesema kuanzia siku 3 na kuendelea mpaka kile kiharufu cha ubeberu kijitokeze vipi wewe unabadilisha chupi mara ngapi kwa siku mkuu?
KabisaUnavaa nini bukta ya mpira?