The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Duuu mkuu ndo umenikumbusha wiki ya pili hii sija badikisha [emoji53][emoji53]Mkuu nilikuwa napiga mahesabu, almost kama siku 3 hadi 4[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu mkuu ndo umenikumbusha wiki ya pili hii sija badikisha [emoji53][emoji53]Mkuu nilikuwa napiga mahesabu, almost kama siku 3 hadi 4[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji855][emoji855]nani amekudanganyaYou are 101% right. Hiyo ni technique yangu ya mda mrefu sana, nikadhani ni mimi tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
AiseeWanaume wa wapi hao mkuu ata yule wa magogoni akijitahidi sana ni mara 2 tu Asubuhi na jioni.
Nn wiki ya pili hii [emoji856][emoji856][emoji855][emoji855]Mimi nilikuwa navaa 2 days ila wakati huu wa joto navaa siku moja tu.
Niko dar, huko Njombe nasikia mnavaa siku 5-7 kwa wiki.
Hiyo Avatar,uko vyema mkuuNipo menopause mkuu mwezini siingii
ahahahaaa! mammmaeeeKuna wengine hawabadilishi, mpaka akiivua na kuisimamisha, ina simama DEDE bila hata sapoti.[emoji53]
huo mgongo naujua vizuri sana, bado sura tu, n wewe huyoSio mm huyo don picha ya watu nimeiiba insta uko
Boxer 40? Au kuna mtu umechanga naye?Aisee,mi binafsi nna boxer kama 40 hivi..lkn cha kushangaza najikuta boxer moja nimevaa mpka siku 3.. hahaha
Hahaa vipi ukiwa na mafuaKila ukioga unainusa ukiona iko fresh unaivaa tena asee uwanaume raha sanaaa