impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
itakuwa haijui boxer bado anavaa chupi huyo
Kwani kuna sehemu boxer imepigwa marufuku mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna sehemu boxer imepigwa marufuku mkuu?
Apana mkuu ila kadir unavokuwa huko chin napo kunakuwa Sasa utawezaje kuvaa boxerKwani kuna sehemu boxer imepigwa marufuku mkuu?
Subiria kama tunavyomsubiri Yesu arudi nitageukautadanganya wengine ila sio mm [emoji5] [emoji5], we geuka tu
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kutoa harufu mpaka isikikee ni nature ya mtuu...! me napigiliaa hata week afu fresh tuu
Apana mkuu ila kadir unavokuwa huko chin napo kunakuwa Sasa utawezaje kuvaa boxer
Kama unafuliwa kila siku unabadili.
Unajuwa maana ya tight? MkuuBoxer siyo tight
Sijaoa
1 boxer per week
Unajuwa maana ya tight? Mkuu
Wewe huwezi kujisikia mwenyewe labda mtu mwingine naye hawezi kukuambia atakaa kimya.
😀😀😀😀😀[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] siku hzi hawavai soksi
Mkuu zote zangu,huwa nanunua kwa dozen..pia manzi nilo kuwa naye before alikuwa anapenda kunizawadia boxerBoxer 40? Au kuna mtu umechanga naye?
Acha utani mkuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unajisikiaa bhana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we ulikuwa noma mpaka inachanika ukiifuaKabisa nakumbuka miaka kama 8 iliyopita nilikua navaa nguo ya ndani mwezi mpaka inakuwa na uvundo na nikivua kuifua inachanika
Na kuna mtu tulikuwa na amekuja kuniambia juzi kuwa nilikua na kaharufu kabeberu haamini kama ni mimi
Boxer 40? Au kuna mtu umechanga naye?
Hiv kumbe Mpaka Sasa kuna wanaume Huwa wanavaa boxer mm Huwa navaa bukta inatosha boxer zmepitwa na wakat