Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Hv kwenye get together s utakuwepo.. [emoji5]Subiria kama tunavyomsubiri Yesu arudi nitageuka
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv kwenye get together s utakuwepo.. [emoji5]Subiria kama tunavyomsubiri Yesu arudi nitageuka
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]You are 101% right. Hiyo ni technique yangu ya mda mrefu sana, nikadhani ni mimi tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
wanaume wa dar mnafanana na dada zenu kila kituMimi nilikuwa navaa 2 days ila wakati huu wa joto navaa siku moja tu.
Niko dar, huko Njombe nasikia mnavaa siku 5-7 kwa wiki.
utawachanganya dada zetu hasa Miss Natafuta!Mimi sivai boksa.
Hazitoshei mkuyati wangu mana nj mnene na mrefu wakuu.
NB:I'm not selling manifesto.View attachment 944883
hahahahahaMie boxer nabadilisha jumamosi kwa jumamosi
Jumanne na ijumaa kiongoziJumangapi na jumangapi mkuu?
Njoo niambie. Muda huu nipo hapa Kigamboni kwa Danny
wanaume wa dar mnafanana na dada zenu kila kitu
Hahahahahaha!!!!!! Ila we jamaa daaaahKila ukioga unainusa ukiona iko fresh unaivaa tena asee uwanaume raha sanaaa
😀😀😀Wanaume wenzangu hivi huwa mnabadilisha boxer zenu mara ngapi kwa wiki? Au mpaka itoe kile kiharufu cha ubeberu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
..
Cc Zero IQ