Hiv kumbe Mpaka Sasa kuna wanaume Huwa wanavaa boxer mm Huwa navaa bukta inatosha boxer zmepitwa na wakat
Nikiwa home huwa napenda kukaa kifua wazi. Kuna siku walikuja wageni sikumbuki walikaa siku ngapi ila nachokumbuka mgeni mmoja wa kike aliniuliza " unaipenda sana hiyo boxer eeenh?? "
MPAKA NIWE NA MIADI NA DEMU NDO NABADILISHA
Ninazo 9, ila zipo mbili ambazo napenda kuzivaa moja inae mjani wa ki Rastafarian Kush, na nyingine imeandikwa banana[emoji529] republic ani hizo nazipenda Sana nkienda bafuni lazima nizifue naanika2geto kesho Kutwa navaaa Kati ya hizo 9 kuna ambazo sijawahi zivaa kab is a[emoji23][emoji23][emoji23][emoji108]
Hahaha aisee hamna usafi ninaoujal kama huu..kila siku mimi navaa boxer ingine, kila siku, sijawah kuvaa boxer au nguo mara mbili mbili mfululizo.Kuwa na boxer nyingi siyo tatizo je huwa unabadilisha mala ngapi kwa wiki?
Hahaha aisee hamna usafi ninaoujal kama huu..kila siku mimi navaa boxer ingine, kila siku, sijawah kuvaa boxer au nguo mara mbili mbili mfululizo.
Boxer ipi mkuu pikipiki au boxer nguo?Boxer niliyovaa leo. Nilenda nayo Mliman city siku ya Alhamis. Nikanyoosha kwenda Tegeta. Nikarudi zangu hadi Kigamboni ambapo nipo hadi sasa na boxer ile ile.
Boxer niliyovaa leo. Nilenda nayo Mliman city siku ya Alhamis. Nikanyoosha kwenda Tegeta. Nikarudi zangu hadi Kigamboni ambapo nipo hadi sasa na boxer ile ile.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ukiiloeka kwenye maji fisi akiiona anajua ni ngozi ya mbuzi anasepa nayo
Tena ulokisiri mkuu, boxer siku mbili hadi tatu daah....Huo ndio utanashati sio unavaa boxer siku 2 au3 ni uchafu uliokithiri
Tena ulokisiri mkuu, boxer siku mbili hadi tatu daah....
Nahisi nitajiisi sipo sawa kabisa.
Underwear sio motorcycleBoxer ipi mkuu pikipiki au boxer nguo?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Namaanisha, nikivaa boxer leo. Alafu kesho niivae hiyo hiyo ,yaan nitakua najishtukia kila mara , sitakua comfotabo , alafu nitajiogopa .Haupo sawa kivipi mkuu?
Njoo niambie. Muda huu nipo hapa Kigamboni kwa DannyItakuwa unatoa harufu unakosa wa kukuambia tu