kwahiyo we ndo wale ambao huwa mnahisi ngozi nyeupe imewazidi kiakili...dah braza kumbe hata ushoga ukiletwa mjini huchelewi jaribu..be exposed zunguka or otherwise soma soma article basi ufunguke upeoSasa tofautisha wazungu na waafrika kiafya na kiakili ndo utajua kama kuna shida au vepee
kwasababu mmeandaa tamasha kubwa hadi watu hawakwenda shangilia taifa star kushangilia vyakula ambavyo vinatuumiza kiafya in long run...hivi kwanini madaktari wa magonjwa ya afya ya kizazi wanapiga sana ela siku hiziKwa hiyo mkuu utaniambia hata nyama au samaki wa kukaangwa ni wabaya kiafya, sawa. lakini kwa nini wala chips pekee ndo wapigiwe kelele?
hata uganda hapo jamaa wanammind museveni kwa kukataza ushoga kwa hizo hizo mentalityKila mtu ale atakacho suala LA kufuatiliana unakula nini sijui ule nini wewe si daktari wake
naheshim mawazo yako mzee naomba kama nakosea nnayoyasema unisahihishe ama basi hichi kizazi kinahitaji ukipe maarifa.......ur comment pleaseAkili zinging bana....
Sio kila kitu kinafaa kuigwa issue hapa ni chipsi yai tunataka mtuambie kula chipsi ya kuna tatizo gani ni viazi tu vimekaangwa kwan viazi vitamu navyo vikikaangwa vinamadha kadhalika mihogo ya drkwahiyo we ndo wale ambao huwa mnahisi ngozi nyeupe imewazidi kiakili...dah braza kumbe hata ushoga ukiletwa mjini huchelewi jaribu..be exposed zunguka or otherwise soma soma article basi ufunguke upeo
we si ulikula ugali na sijui bamia au maharage ukaenda kushangilia taifa staz... meanwhile sisi tulikuwa leaders tukisherehekea tamasha la chips na wake zenuMibongo bana kwa kupenda kutafuniwa..basi hapo ukute nyie ni watangazaji wa redio pendwa ya fiesta chipsi
Is High Cholesterol Harming Your Sex Life? | Fox News
9. French fries and potato chips. These are made from the unhealthiest fats, hydrogenated vegetable oils. Rich in trans-fats, these increase LDL or bad cholesterol and reduce HDL or good cholesterol.
10. Eggs. Eggs are actually good for your health but not if you have high cholesterol. Avoid egg yolk and eat only the white of an egg if you have been diagnosed with high cholesterol levels.
Lowering cholesterol is all about making healthy choices. Remember that home cooked food using natural and minimally processed ingredients is best for lowering cholesterol in your body.
Did you mean Digestion?Ni chakula sahihi tu kwa mtu yeyote.
Unapokula zinaingia mwilini huvunjwavunjwa hatua kwa hatua during respiration ,na hatimaye kuzalisha energy in form of ATP kama cabohydrate nyingine.
Tatizo liko wapi?.
Unataka kusema walaji wa chips mayai wana elements za ushoga? [emoji15] [emoji15]hata uganda hapo jamaa wanammind museveni kwa kukataza ushoga kwa hizo hizo mentality
[emoji15] [emoji15]we si ulikula ugali na sijui bamia au maharage ukaenda kushangilia taifa staz... meanwhile sisi tulikuwa leaders tukisherehekea tamasha la chips na wake zenu
na kwa vile chips zimeshatumaliza nguvu, tuliishia kuwashikashika tu
ah ah mentality za kusema kwa kua wazungu wanafanya basi poa tuπππ...kwan brother pale kinondoni wale jamaa wanapendelea ugali dona na maharage eti eehπππππππUnataka kusema walaji wa chips mayai wana elements za ushoga? [emoji15] [emoji15]
No, it is respiration and not digestion.Did you mean Digestion?
AsanteNo, it is respiration and not digestion.
Wauluze clouds fmHabarini wanaJF,
Kama habari inavyoeleza. Ningependa kujua kama chips ni chakula sahihi kwa mwanaume. Nimeuliza hili kwakuwa uwa napenda Kula pale usalama makumbusho na sehemu kama katalunya, kibaoni tegeta but nawaona wanaume wenzangu tena vijana about 25- 41 wakiagiza chips mayai, kuku, mishikaki n. K. Kwa upande wangu nawahurumia hawa vijana na kujiuliza kwanni huyu kijana asile ugali nyama, ugali samaki, ugali mboga mboga kama bamia mchicha na kadhalika.
Au ndiyo kubana matumizi.
Naombeni kueleweshwa kama chips ni chakula sahihi kwetu sisi vijana
Nawasilusha.
Ahsante
Comment kama hii inaonesha upeo wako.Mwanamume timamu hawezi kula chips hata kidogo.Ukiacha madhara ya kiafya, chips ni chakula cha mademu au mashoga. Hakuna cha dharura, chips inaondoa nguvu za kiume, mwanamume unakula chips tena kwa tooth pick inasikitisha sanaaaaaa, nyie mnaoponda mada ndio walaji wakubwa wa chips. Mnakera sana.
Ugali na viazi[chips] vyote ni wanga.....sasa nini kinachofanya uone ugali ndio sawa na chips si sawa?! Ugali unalika sana huku kusini mwa jangwa la sahara kama unaleta sana nguvu mbona hatuoni mabingwa wa michezo ambayo inatumia nguvu wakitoka kipande hii?Habarini wanaJF,
Kama habari inavyoeleza. Ningependa kujua kama chips ni chakula sahihi kwa mwanaume. Nimeuliza hili kwakuwa uwa napenda Kula pale usalama makumbusho na sehemu kama katalunya, kibaoni tegeta but nawaona wanaume wenzangu tena vijana about 25- 41 wakiagiza chips mayai, kuku, mishikaki n. K. Kwa upande wangu nawahurumia hawa vijana na kujiuliza kwanni huyu kijana asile ugali nyama, ugali samaki, ugali mboga mboga kama bamia mchicha na kadhalika.
Au ndiyo kubana matumizi.
Naombeni kueleweshwa kama chips ni chakula sahihi kwetu sisi vijana
Nawasilusha.
Ahsante