Tik tok kila manzi ni pisi kinyama sijui filter gani imejengewa mle! Kila pisi yamoto af inafanya ungese.Mtu Akifumania anaua
.Mtu akiachwa Analia,anajiua,anaroga
.Mwingine nae wivu tu kameza madonge.
.Huyu nae masomo yamemshinda kapokonywa Pisi yake.
Mi nilijua ni wanafunzi kumbe mingine ni Mibabu kabisa inajitamba mjini huku In Phd.
Hivi hata zile Pisi za Tik tok huwa hamzioni jamani,Acheni uvivu Tongozeni jamani mpate wachumba muoe.
Kauli mbiu: Tupige puli tu.Utam tunao sisi wenyewe wanaume, pale tunafuata utelezi tu
manake hapo kwanza ucheke😅😅Hehehe
Sio Tiktok pekee huko nimetoa mfano tu,Hivi mapenzi gani hayo mwanaume mzima mpaka unajitoa roho yako eti kisa Demu Au ndio limbwata.huwezi linganisha pisi za Tiktok na demu wako,yeye umemzoea kuna strong bond hapo lazima utaumia sana akienda
zile za Tiktok hata ukiiweka ndani unakua hujaizoea na haikupendi ila yule aliyeenda alikupenda
NakaziaUtam tunao sisi wenyewe wanaume, pale tunafuata utelezi tu
mazoea ndio sababu,sio kila mtu ana uwezo wa kuvumilia kumove onSio Tiktok pekee huko nimetoa mfano tu,Hivi mapenzi gani hayo mwanaume mzima mpaka unajitoa roho yako eti kisa Demu Au ndio limbwata.
Mimi yani siku hizi kila mmoja naona kama vile ana bei. Tinder imebadili mtazamo wangu. Unaweza kuwa na mpenzi wako unaona pisi kali unavimba, kumbe huko mtandaoni wanamnunua kwa buku 30 mpaka 50. Ukiona una demu hana kazi na ana macho matatu na vitu ambavyo kiuhalisia she cannot afford, baba jua uko kwenye open relationship kama jada na willy.Tik tok kila manzi ni pisi kinyama sijui filter gani imejengewa mle! Kila pisi yamoto af inafanya ungese
[emoji23][emoji23][emoji23]Tik tok kila manzi ni pisi kinyama sijui filter gani imejengewa mle! Kila pisi yamoto af inafanya ungese