Wanaume weupe na kingeke cha kupendwa na wanawake!!

Huu ndo ukweli,ila kuna watu watakubishia..kiukweli wanaume weupe hata hatutongozi..yaani kabla hata hujamtongoza mwanamke tayari alishakubali🤣
 

Kuwa makini utatongozwa hadi na wanaume na kuliwa kiboga.
 
Nimezoea kusikia wanawake wakisema

"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".

Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?
Hayo maneno wanasemaga hadharani maana hakuna madhara yyte ila backstage huku sisima white huwa tunacheekaaa sana..

nimezaa na wanawake 4 hata mmoja sikupanga kuzaa nae ni vile basi walitaka kupata watoto mbegu safi na kiukweli wanangu wanawekwa sana dp na mama zao nahisi wamepata walichotaka..
 
Habari bila picha ni uzushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…