Wanaume weupe na kingeke cha kupendwa na wanawake!!

Wanaume weupe na kingeke cha kupendwa na wanawake!!

Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!

Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi

Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]

Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.

Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah

Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?

Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Huu ndo ukweli,ila kuna watu watakubishia..kiukweli wanaume weupe hata hatutongozi..yaani kabla hata hujamtongoza mwanamke tayari alishakubali🤣
 
Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!

Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi

Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?
emoji23.png
emoji23.png


Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.

Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah

Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?

Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa.

Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!

Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi

Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]

Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.

Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah

Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?

Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Kuwa makini utatongozwa hadi na wanaume na kuliwa kiboga.
 
Nimezoea kusikia wanawake wakisema

"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".

Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?
Hayo maneno wanasemaga hadharani maana hakuna madhara yyte ila backstage huku sisima white huwa tunacheekaaa sana..

nimezaa na wanawake 4 hata mmoja sikupanga kuzaa nae ni vile basi walitaka kupata watoto mbegu safi na kiukweli wanangu wanawekwa sana dp na mama zao nahisi wamepata walichotaka..
 
Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!

Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi

Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]

Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.

Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah

Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?

Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Habari bila picha ni uzushi
 
Back
Top Bottom