Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Majonzi makubwa mno 😂😂unatia huruma! Utapata anayependa mti wa maji ya kunde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majonzi makubwa mno 😂😂unatia huruma! Utapata anayependa mti wa maji ya kunde
Light skin niga wanazingua 😂
MnatongozekaSisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Mimi nina wasiwasi na weupe huo ambao anauzungumzia ilhali naye ni black kama Sisi. Huu weupe wa kuchonga ili kushindana na KE unaleta sintofahamu katika hiki kizazi cha kidijitali. Akishajikoboa tu basi huwaona wenziwe kama si binadamu vile.TUNAPIGWA!!!! Mwandishi jamaa black lazima
Nimecheka sana🤣🤣mti mweusi...Mkaka mweupe mimi hapana!
Wadada wengi tunapenda wanaume weusi sababu tunataka mti mweusi,
Mti ukiwa mweupe sijui pink tunaona huyu jamaa hayupo serious na hii mechi.
Sharti la nyoka awe mweusi tunaona Cobra huyu hapa!
😂😂 ephen_ pita huku 👉Mkaka mweupe mimi hapana!
Wadada wengi tunapenda wanaume weusi sababu tunataka mti mweusi,
Mti ukiwa mweupe sijui pink tunaona huyu jamaa hayupo serious na hii mechi.
Sharti la nyoka awe mweusi tunaona Cobra huyu hapa!
Hela sina muda nazo pia. Sina ushamba tena na hela, ninazo Sawa, Sina pia ni sawa.Atakuja bwana mmoja hapa Utaambiwa tafuta helaaa wewe 😂😂😂😂😂
Mbinguni hawaendi wanaopenda black mamba😂Mbinguni au😂
Mkuu,
Kuepusha huu mvutano na mtifuano mkali ni bora utuwekee na picha hata kama ni za kucopy toka ulaya na masharik ya mbali....m
Weka picha tuone 😂😂😂
Picha gani?Atume picha tujihakikishie 🤣
SONGESHA FACE 🤣Sura imechachuka ? Kaaah wanawake mnamaneno ya kero sana hii maanake nini we mmama
Ya weupe wake na huo urefu 😂Picha gani?
Nimezoea kusikia wanawake wakisema
"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".
Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?
😂 nyuma ya keyboard mambo ni TAFAUTIYa weupe wake na huo urefu 😂