Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]


ACHA mshkaji wangu upendezi mtoto wa kiume mambo unayofanya
 
Jf mnashangaza sana mtafikiri nyinyi ni wasafi kiasi hicho

Kuwa na mwanaume mmoja ni umalaya??? Tumetengana miezi kadhaa sasa, ningekaa hivi hivi?? Kuwa na mtu mwingine ni kutunza afya ya akili haswa mambo mengi mkiwa mnaendana
Mmh! Wewe ni mama wa wawili? Kweli pisi kali kichwani huwa sifuri, nimeamini.
 
Mi nilofunga PM na wewe uloacha PM yako wazi unadhan nani ana njaa ndogo ndogo.

Wamekuja wangapi pm kwako leo?

Una njaa ndio maana unafikiria mambo ya nauli[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuacha pm wazi si maamuzi ya mtu unanipangia Kama we nani labda??
 
Shida Kwa mwenzetu ilianzia hapa chini

Nanukuu




Wapenzi mume wangu anataka kuninunulia gari, sasa kasema iwe kati ya 3m to 4m hivi[emoji16][emoji16] nitapata kweli nzuri?? Isiwe na matatizo matatizo jamani Na kwenye mafuta isiwe inakula sana,

Vipi vits/ist/ kigari kidogo tu[emoji87]

Kwa dar, japo kwasasa tupo mkoani soon tunarudi.


Kuna baadhi ya wenzetu ukiwanunulia gali basi taraji kuombwa talaka soon
 
Shida Kwa mwenzetu ilianzia hapa chini

Nanukuu




Wapenzi mume wangu anataka kuninunulia gari, sasa kasema iwe kati ya 3m to 4m hivi[emoji16][emoji16] nitapata kweli nzuri?? Isiwe na matatizo matatizo jamani Na kwenye mafuta isiwe inakula sana,

Vipi vits/ist/ kigari kidogo tu[emoji87]

Kwa dar, japo kwasasa tupo mkoani soon tunarudi.


Kuna baadhi ya wenzetu ukiwanunulia gali basi taraji kuombwa talaka soon

Gari ninazo mbili hadi sasa


Sina tatizo nae ndio mtu wangu na nampenda[emoji3059][emoji3059]
 
Sijui kama una haki kumpiga mawe mwanamke mwenzio kiasi hiki.

Hii ni jf, hata wewe kuna watu walikuchukulia sana tu.
Ufike wakati tuheshimiane wakuu

Na ukute yeye ndio dume[emoji57][emoji57] Ana kazi ya kuwaomba watu nauli njaa zake anataka kujifananisha na mm
 
Kumbe ndio akili yako iko huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo za kuomba nauli tunawaachia nyie wenye shida ndogo ndogo


Nina Gari yangu my dia na Sina shida ya pesa na wala sijawahi kumuomba mtu humu pesa my dia

Na hata kwa cheusi sijawahi kumuomba hata mia

Alafu hujielewi ww utakua na njaa umekula Leo?? Embu tuma namba yako nikutumie pesa ya kula kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unapambana m mwanaume mwanaume sasa aliyekuambia nimekuja kubishana hapa nani??? Njaa inakusumbua wewe

[emoji2222][emoji2222] napenda mimi watu wakipeana madongo!! Seat ya katikati mbele sitaki lolote linaweza kutokea
 
Umeona mbali mkuu.

Sredi zao ni soft porno mkuu na hakuna mwanamke wa kweli anaweza kuongea matusi matusi hivi sbb wanawake kwa asili tumeumbwa na aibu.

Na lengo la hizi soft porno ni kuamsha hisia za baba/kaka zetu kama mtego wa kuwavuta PM wakawaibie hela za nauli[emoji2][emoji1787].

[emoji1635] Hapo chacha
 
Good, sasa nakushauri kitu my dear. Kwa ajili ya watoto basi urudi Kwa mumeo.

Ushaur tu lakini kma kweli bado unampenda. Usiweke mashindano nae kua yy ndio akuombe urudi

Siweki mashindano nae na sikuwahi kudhania ipo siku nitakua na mwanaume mwingine tofauti na yeye imetokea unfortunately’ nasubiria kwenye his birthday nimsurprise
 
Back
Top Bottom