Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Wewe unaichezea sukari yenu ee[emoji23][emoji23]Hamna yule tunaheshimiana ni bro tu!
Humu jf changamsha genge [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaichezea sukari yenu ee[emoji23][emoji23]Hamna yule tunaheshimiana ni bro tu!
Humu jf changamsha genge [emoji1787]
Sawa mamy & all the bestWe are his family anaomba Kila siku turudiane tulee watoto ila namkomesha tu kidogo[emoji85][emoji85] birthday yake 17th October
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah[emoji2222][emoji2222] napenda mimi watu wakipeana madongo!! Seat ya katikati mbele sitaki lolote linaweza kutokea
Tukomesheeee, tukomesheeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu vichambo vilikua tangu asubuhi, nikaamua kusepaa zangu, sasa naona huku nyuma ndo moto uliwakaa vilivyo.Uduguu ulikuwa wapi jomoooni! Unakosa vichambo huku [emoji2222]nani kakuficha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshakuambukizaa heka heka, huachi kamwee.Napendaa mimi haya mambo uduguu [emoji1787][emoji1787]
Sisi ambao weusi lkn vijeba,hutupatii hata kaua kamoja?[emoji41][emoji41][emoji41]Hey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Wewe unaichezea sukari yenu ee[emoji23][emoji23]
Malaya mmekutana hadi mnapeana muda wa kudanga,alafu baada hapo mnarudiana tena!!Tumetengana kwa sababu ya umalaya wake, ndio bado nampenda tena sana tu tatizo letu ni hilo tu tumepeana space kwa muda
Wala nakuheshimu balaa[emoji23]Wewe nishakuona unatafuta vita [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu vichambo vilikua tangu asubuhi, nikaamua kusepaa zangu, sasa naona huku nyuma ndo moto uliwakaa vilivyo.
Ila JF daah. Kazii ipoo
Ninakuonya usithubutu kuoa malaya, automatic utakuwa malaya piaMalaya mmekutana hadi mnapeana muda wa kudanga,alafu baada hapo mnarudiana tena!!
Wala nakuheshimu balaa[emoji23]
We njoo mimi nakupa vyote mama[emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unataka kuninyima nini na hiyo heshima [emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshakuambukizaa heka heka, huachi kamwee.
Mbna mume wako country alikuwa muda ulee, wee ulikwamaa wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kunitag uduguu jomooni [emoji18] mimi nitapingua urafiki [emoji23]
We njoo mimi nakupa vyote mama[emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ina heka heka udugu, hata Twitter haifikii, mello kainyima space na voice notes, mbna pangekua panawaka humu.Nimekuwa teja uduguu umeniharibu na hawa viumbe wazito wa jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]