Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Hadi leo sijajua jinsia yako. Hivi tatizo lako nini hasa? Tuongee hili serious, Kama ni ke basi nianze mpango wa kukuchakata. Kama ni me kafie mbele
Coca wewe ni jinsia gani, hebu acha kutuchanganya humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninazo zotee unazo zijua na ziko active. Uwiiiih
 
Wewe huniwezi, nitakufungia kazi hadi utakimbia jf, au kuwa banned milele
Umesahau nilikukimbiza humu ukafungua id mpya? Unataka tuendelee tulipoishia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una uwezo huo? Unajua nilifungiwa kisa nn na nan alinifunguliaa?? Hebu kaa kmyaa, nikikugusa unajiliza kwa modes,

Uniwezee mie, heka heka nastaafu mbna.usiniletee balaa.
Wee hata hukuuhusika, na hata walio husika wenyewe wamenishindwaa.

Km kweli nilifungua I'd ingne, mbna leo niko na hii ya mda??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee.
 
[emoji17] Kantri muache uduguu wangu, wewe gender yake haikuhusu mbona hivyo lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muachee ana hamu ya kuchachuliwa leo.ntamfurahishaaa
 
@Cute Wife

Uduguuuu mumeo huyo hapoo, harusi tunayooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huyu akiwa mume kila mkikutana nitakuwa naamulia ugomvi Uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu akiwa mume kila tukikutana nitakuwa naamulia ugomvi Uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna itakua hatariiii, ni tafranii tupuu.
 
Back
Top Bottom