Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

We clepetina mbona umemkomalia sn pisi Kali kuwa ni jinsia me...

Achana nae Kama ni me atajua mwenyewe ww changia mada yake tu mengine mwachie mwenyewe.

Shida yake ni kuwa nitawaomba watu pesa nimeacha pm wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aanzishe uzi aulize Nani nimewahi kumuomba pesa ya nauli ama chochote?

Nilipata changamoto ya uzazi nikashare n nilipopata msaada nikashare na watu baadhi pm bureeee nikawaelekeza


Watu wa biashara wanaonipm Kama kitu najua nawaelekeza bureee

N mm binafsi I’m not after money sijui kutapeli watu sina shida kiasi hicho naishi maisha yangu standard tu niko humu kuenjoy na sio kula cha mtu… yeye kwa vile ni dume basi anafikiri kila mtu anafanya vile anafanya yeye
 
Na nyie mnaosema malaya malaya

Ndio Maana ya kuwepo duniani hatuwezi wote kuwa wasafi… we Kama msafi kaa kwa kutulia nikiwa malaya hupungukiwi chochote
Wewe na mumeo mliachana kwa talaka au mlipeana break tu?.

Ukirudi kwa mumeo huyu tall black basi tena au utaendelea nae?.

Watoto wameonana na new bf wako?.
 
Mbna mume wako country alikuwa muda ulee, wee ulikwamaa wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapinguaje urafiki? Bila mie utatambaa humu sasa??kaa kwa nywilaa
Hadi leo sijajua jinsia yako. Hivi tatizo lako nini hasa? Tuongee hili serious, Kama ni ke basi nianze mpango wa kukuchakata. Kama ni me kafie mbele
Coca wewe ni jinsia gani, hebu acha kutuchanganya humu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uduguu hadi wewe?? Kantri kawa mume wangu tena [emoji1787][emoji1787]
Yule ana mademu zake humu, mimi adui yake! Labda uduguu unitafutie mume wewe

Jeuri naikuta wapi uduguu kupingua urafiki na Wewe sasa [emoji2222]
Japokuwa simpendi kabisa huyo coca, Ila kama coca kalipitisha hili, naomba liwe kweli. Cute wife utaishi maisha ya furaha sana
 
Nimekuongeza kwenye list ya watu ninaowaheshimu hapa JF
Hawa wadada wanaosema wanapenda wanaume weusi hua hawapendi kuzaa watoto weusi wanapenda wazae watoto weupeee[emoji1][emoji1]
Nafurahi kuingia kwenye list of honor yako,,nitakuzingatia Sana😍😍

Sasa wanapenda wanaume weusi halafu hawapendi kuzaa watoto weusi wanataka watoto weupe hapo ndio utajua maharage ni mboga ya matunda🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe na mumeo mliachana kwa talaka au mlipeana break tu?.

Ukirudi kwa mumeo huyu tall black basi tena au utaendelea nae?.

Watoto wameonana na new bf wako?.

Tumetengana tu nimeondoka na watoto tupo nyumba nyingine waliyokua wanakaa wapangaji yeye tumemuacha mji x

Tall black muda wowote namuacha


Hawajaonana nae Maana tunaonana nje ya miji yetu…
 
Mume wako na wewe mna tofauti gani kitabia? Mmetengana kidogo umetafuta mwanaume mwingine😳
 
Hadi leo sijajua jinsia yako. Hivi tatizo lako nini hasa? Tuongee hili serious, Kama ni ke basi nianze mpango wa kukuchakata. Kama ni me kafie mbele
Coca wewe ni jinsia gani, hebu acha kutuchanganya humu

[emoji17] Kantri muache uduguu wangu, wewe gender yake haikuhusu mbona hivyo lakini
 
Back
Top Bottom