Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Kuna cheche zimelipuka kwenye ubongo wanguuuu[emoji1787][emoji51][emoji23][emoji38][emoji2].

Anhaaa okay alright kuuumbee...oooh laalaah[emoji2] [emoji38]..

Nzega Dom Manzese na tithi[emoji38][emoji23][emoji51]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo cheche za mchongo, mimi humu sina habibt! Labda unisaidie kunitafutia mlokole km wako Clepatina
 
mi ni 7.02ft,nimepitiliza hadi naboa mkulungwa.

Naulizia ili nile vyakula vya kupunguza urefu kidogo,manake nikipita mitaani watu wananishangaa sana
Kajaribu kubeba vyuma vizito, gym
Unaweza kubalance hata kdogo

Unafahamu kuwa mtu anaweza akawa na fut 6 lakini akaonekan mrefu kuliko mwenye futi 7?
Kwanini?

Kwasababu muonekano wa watu kupima urefu, unaendana na balance kati ya unene na urefu.

Kwa mantiki hiyo, ukikuta mtu mwembamba sana mwenye futi 6, ni rahisi kuonekana mrefu kumzidi yule mwenye futi 7 lakini akawa mnene.

Japo ukitaka kuwapima kwenye kipimo ndo utagundua nan mrefu.

Kwahyo nlitaka nkuomeshe jinsi gani urefu wa mtu unaweza ukapimwa kirahisi kwenye balance ya macho!!.

Kwasababu mtu kuonekana mrefu sana ni issue ya muonekano tu, ni jinsi gani mwili wako umebalance kati ya urefu na unene (Misuli)

Kajarubu kujaza jaza kamwili, piga gym hata kdogo
 
1686501806376.jpg
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
cry for help..sis maumivu ya mapenzi yanaisha jipe muda
 
Bestie una kipaji cha kuchekesha ujue[emoji1787].
Nakutafutia menejimenti tutengeneze pesa hadi watuite filimasons[emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweliii.
 
Back
Top Bottom