Clepatina
JF-Expert Member
- Apr 8, 2023
- 1,266
- 2,577
Hicho kinakujaga nikiwa nimekunywa mataputapu😬😂😆😃Mmmh kilatino chako kigumu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kinakujaga nikiwa nimekunywa mataputapu😬😂😆😃Mmmh kilatino chako kigumu mkuu
Hahaha ngoja nikae kandoHicho kinakujaga nikiwa nimekunywa mataputapu[emoji51][emoji23][emoji38][emoji2]
Sure, Hiyo ni tabia ya Kisimbe huwa ananionya sana Mama yangu juu ya Wanawake wa aina hii.Una ka-umalaya kanakusumbua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]natamani kungekua na voice note
Hawez kuwa yeye napinga hadi mbinguniHuyo kwenye profile picha yako ndio wewe madam?
Kwanini mkuu?Hawez kuwa yeye napinga hadi mbinguni
Kuna cheche zimelipuka kwenye ubongo wanguuuu[emoji1787][emoji51][emoji23][emoji38][emoji2].
Anhaaa okay alright kuuumbee...oooh laalaah[emoji2] [emoji38]..
Nzega Dom Manzese na tithi[emoji38][emoji23][emoji51]
Kajaribu kubeba vyuma vizito, gymmi ni 7.02ft,nimepitiliza hadi naboa mkulungwa.
Naulizia ili nile vyakula vya kupunguza urefu kidogo,manake nikipita mitaani watu wananishangaa sana
Njoo kanisani kwetu vijana wote ni walokole.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo cheche za mchongo, mimi humu sina habibt! Labda unisaidie kunitafutia mlokole km wako Clepatina
cry for help..sis maumivu ya mapenzi yanaisha jipe mudaHey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweliii.Bestie una kipaji cha kuchekesha ujue[emoji1787].
Nakutafutia menejimenti tutengeneze pesa hadi watuite filimasons[emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yupiiiiii??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilimwambia Coca kada mwenzio ukae kwa password
Uduguuu wee furahii tyuu mwayaa, maisha enyewe mafupii aaahMtaniua na vicheko bestie.
Siku nzima leo nacheka tu kama.lijinga[emoji51][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiduchuuu tyuuh.Unapenda makitu machafu ee[emoji16][emoji16]
Hatimaye tumekumbukwa pia wafupi+tege😀Wanawake wafupi na wenye matege pokeeni maua yenu