YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Njoo kanisani kwetu vijana wote ni walokole.
Sawa sawa nakuja nijipatie wangu hawa wa mataifa wamenishinda [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo kanisani kwetu vijana wote ni walokole.
Nimehisi tu atakua anakusalimia maana sjaona Leo akikutaja humu jf[emoji1787][emoji1787] Hupo naye hapo?
Mpe hi mwambie nam miss kinoma [emoji2222]
We clepetina mbona umemkomalia sn pisi Kali kuwa ni jinsia me...
Achana nae Kama ni me atajua mwenyewe ww changia mada yake tu mengine mwachie mwenyewe.
Wewe na mumeo mliachana kwa talaka au mlipeana break tu?.Na nyie mnaosema malaya malaya
Ndio Maana ya kuwepo duniani hatuwezi wote kuwa wasafi… we Kama msafi kaa kwa kutulia nikiwa malaya hupungukiwi chochote
Namm mrefu mweusi mwez wa 8 nakuja Dar naomba namm nionje utamu wako. Namba zang 0799545476 nisevu Adam wa kinyakyusaNa nyie mnaosema malaya malaya
Ndio Maana ya kuwepo duniani hatuwezi wote kuwa wasafi… we Kama msafi kaa kwa kutulia nikiwa malaya hupungukiwi chochote
Weeeerrrr,kweli,nipe kode za mkeo kama hajakuachsHaihitaji kujua futi ww short ukisimama na cc ma tall utajua tu habari yako imeishia hapo[emoji3061]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe huo urefu umeutoa wapi?Hapo ndipo ninapokubali mshkaji wangu[emoji2222][emoji2222]
Pesa kwanza urefu atatumia wangu [emoji1787]
Hadi leo sijajua jinsia yako. Hivi tatizo lako nini hasa? Tuongee hili serious, Kama ni ke basi nianze mpango wa kukuchakata. Kama ni me kafie mbeleMbna mume wako country alikuwa muda ulee, wee ulikwamaa wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapinguaje urafiki? Bila mie utatambaa humu sasa??kaa kwa nywilaa
Japokuwa simpendi kabisa huyo coca, Ila kama coca kalipitisha hili, naomba liwe kweli. Cute wife utaishi maisha ya furaha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uduguu hadi wewe?? Kantri kawa mume wangu tena [emoji1787][emoji1787]
Yule ana mademu zake humu, mimi adui yake! Labda uduguu unitafutie mume wewe
Jeuri naikuta wapi uduguu kupingua urafiki na Wewe sasa [emoji2222]
Hebu nisaidie hili liwezekane, baada ya hapo ntaanzq kukupenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa yeye ndo anakuajee adui na wee? Hebu mfanye awe rafikiii.
Mie nawee milele, heka heka nshakurithishaaa.
Wewe huniwezi, nitakufungia kazi hadi utakimbia jf, au kuwa banned milele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie siku hizi ananiogopaaa, hanijii kizembee, ntamfurushaa tena ajuteee.
Nafurahi kuingia kwenye list of honor yako,,nitakuzingatia Sana😍😍Nimekuongeza kwenye list ya watu ninaowaheshimu hapa JF
Hawa wadada wanaosema wanapenda wanaume weusi hua hawapendi kuzaa watoto weusi wanapenda wazae watoto weupeee[emoji1][emoji1]
Wewe na mumeo mliachana kwa talaka au mlipeana break tu?.
Ukirudi kwa mumeo huyu tall black basi tena au utaendelea nae?.
Watoto wameonana na new bf wako?.
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe huo urefu umeutoa wapi?
Lilisikika dume moja kutoka jfWe mi ni mama tena wa watoto wawili my dia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe huo urefu umeutoa wapi?
Hadi leo sijajua jinsia yako. Hivi tatizo lako nini hasa? Tuongee hili serious, Kama ni ke basi nianze mpango wa kukuchakata. Kama ni me kafie mbele
Coca wewe ni jinsia gani, hebu acha kutuchanganya humu