Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Swali la kipuuzi kabisa hiliUmejuaje,[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kipuuzi kabisa hiliUmejuaje,[emoji848]
Ndio ndio 😀Kumbe ni kawaida hiyo?! [emoji3][emoji28]
Kama ambavyo wakijakuwa
Wazee wanavyoinama ha ha haah
Sawa mpuuzi, vp lkn ww hautukubali ss black, tall guys?Swali la kipuuzi kabisa hili
That's what's up 👍👍Malizia na Kama hana hela [emoji3][emoji28]
Maana ndivyo wasemamavyo wanawake wa mjini.
Wanakwambia hapendwi mtu [emoji108]
Ngawira pesa!
Sijasema warefu hamna waliofanikiwa....Ila angalia mabaunsa na wauza sura mjini Kama utapata wafupi hata 3 niidai lakiRudia utafiti wako.
Kwa hiyo mimi mwenye futi sita unusu ndiyo umenitenga kunisifu?Poa tu.Ntapata andunje mwenzangu na tutatembea tumeshikana mikono kwa kudeka.Hey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Kabisaaa, Mwanaume Kuna vigezo tofauti kabisa na mambo ya physical appearance.......mambo ya urefu sijui ufupi atajua mwenyeweNina maua yako, mwanamke yeyote anaejielewa physical appearance sio preference yake kwa mwanaume sijui ana ndeve, mrefu, sijui mfupi, mweusi, mweupe etc hayo mambo ya watoto wa sekondari.
Jitahidi wallet yako isiwe andunje.....problem solvedSisi Maandunje tutapendwa na nani?
Hata sisi ni wa Mungu
famasiala na mb.oo nyeuc😁😁si umesema sio malaya.... mbona uanjing'ata aisee, au ni black d*ck inakuchanganya
kuwa makini yasijekukuta kama yetu hatujatumiana text tuna more than a year kusubiriana [emoji1787]
Wasichana wanapenda tall dark bila kuangalia uwezo wake kichwaniBora umejiongeza
Huyu ni mwanamke..kuna mwaka alifiwa na mwanaye mchanga kama sijakosea...
Duuh.Si bora angekua singo maza sasa?
Mume wa mtu huyo🤣🤣
Asante sn, bila Shaka ni ww niliyekuletea uzi humu kwamba hizi sifa mnazotupaga wtk wa minyanduano Ni za kweli au mnatuzuga tu.
Sasa nimeamini ni sifa za kweli[emoji848][emoji123]
Kwann unalazimisha awe ni mwanaume ila nyie wanawake hampendani Kabisa,fatilia thread zake zote utaona kuwa ni mwanamke huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima mwenzangu unaelewa haraka Sana...😁😁😁😁Kwa hiyo tall na black ni sawa na white na matako makubwa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]