Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Kwa hiyo mimi mwenye futi sita unusu ndiyo umenitenga kunisifu?Poa tu.Ntapata andunje mwenzangu na tutatembea tumeshikana mikono kwa kudeka.
 
Nina maua yako, mwanamke yeyote anaejielewa physical appearance sio preference yake kwa mwanaume sijui ana ndeve, mrefu, sijui mfupi, mweusi, mweupe etc hayo mambo ya watoto wa sekondari.
Kabisaaa, Mwanaume Kuna vigezo tofauti kabisa na mambo ya physical appearance.......mambo ya urefu sijui ufupi atajua mwenyewe
 
Eti Pisi kali.[emoji57]
Toka lini pisi kali ikawa na mkia katikati ya miguu.
Muogope Mungu we mbaba

Mbona umepaniki sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa basi m mwanaume nimekuja kuwasifia wanaume warefu Weusi… haya endelea kutekeseka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Umekomaa kutype nyoooo


Hivi nyie mnaosema m mwanaume mnajielewa kweli?? Nataka kumtapeli Nani? Na kwa kipi? Sihitaji mwanaume wala mwanamke Sasa natapeli nn? Kichwa maji wewe nitolee ushubwada wako hapo
 
Asante sn, bila Shaka ni ww niliyekuletea uzi humu kwamba hizi sifa mnazotupaga wtk wa minyanduano Ni za kweli au mnatuzuga tu.

Sasa nimeamini ni sifa za kweli[emoji848][emoji123]

Kweli kabisa kuna wanaume wanajua bwanaaa alafu wa motroooo jeusi lirefu linasauti zito anakut*** huku anakuongelesha na sauti lake zito weeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…